Ebana wadau wana jf, hii siyo tetesi, bali nina ushahidi, NIDA wanaitana kwa kujuana. Nina jirani yangu mmoja ameitwa interview tayari. Nilimuuliza ali-aply lini akasema wala hakuwahi apply, alipigiwa simu, akaenda hata interview hakufanyiwa, akaambiwa ataitwa kwa training any time.
Akasema kuna mmmmangi mmoja kamuunganisha, si unajua kigogo wa nida ni Mmmmangi.
Hii ni kasoro kubwa kwa nida ambayo ilikuwa criticised, afu inaanza na haka ka mchezo kachafu.
Take care.
Akasema kuna mmmmangi mmoja kamuunganisha, si unajua kigogo wa nida ni Mmmmangi.
Hii ni kasoro kubwa kwa nida ambayo ilikuwa criticised, afu inaanza na haka ka mchezo kachafu.
Take care.