Nidhamu katika Matumizi ya Kodi za Wananchi kwa Serikali na Viongozi wa Umma

Kama waziri wa fedha aliingia bungeni na msafara usio tija kwenda kusoma bajeti ili kukoga wananchi, usitegemee matumizi sahihi ya fedha za wananchi. Kila siku nasema bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, tusitegemee mabadiliko yoyote ya maana hapa nchini. Hii nchi inatakiwa factory reset ili tuanze upya kiutawala.
 
Aaah mkuu acha hizi bhana ......usitaje majina ya watu kwa kuwatweza hivyo bhana.
Muhuni mtaje kwa jina ili ujumbe ufike kwa usahihi. Hii tabia ya kutaja kwa kufichaficha ndio imesababisha tuendelee kupigwa.
 
Hakuna uwezekano wa kupata katiba mpya nchi hii kwa njia ya amani. Machafuko pekee ndio njia itatupatia katiba halisi ya wananchi.
 
Muhuni mtaje kwa jina ili ujumbe ufike kwa usahihi. Hii tabia ya kutaja kwa kufichaficha ndio imesababisha tuendelee kupigwa.
Alafu wanapiga picha wenyewe na kutuma kwenye akaunti zao za mitandao!
 
Tatizo kubwa zaidi lililopo kwa Watawala wa Afrika ni UKOSEFU MKUBWA SANA WA NIDHAMU KATIKA MATUMIZI YA FEDHA ZA KODI ZA WANANCHI.

Hili ni janga kubwa Sana ktk nchi zote kabisa zilizopo barani Afrika
Na kwa hili tutaendelea kupiga mark time mpaka watanzania tutakapojielewa. Watanzania tumedumazwa kiakili na wachache wanaoliewa hili wameshatumia nguvu nyingi kuwaelewesha watanzania mpaka kuyaweka maisha yao rehani lakini wanakosa support mpaka wanakata tamaa. Wacha tuendelee hivi hivi ni Mungu mwenye ataingilia kati "Heri ya wale wenye mioyo ya huruma juu ya wengine na Mungu anawaona"🙏
 
Kama Nchi yale mambo yaliyotokea kwa majirani mpaka kupelekea Rais wao kuunda kamati kufuatilia mikopo,kusitisha ununuzi wa magari kwa miezi 12 isipokuwa ya usalama nk. Ingekuwa busara kubwa kama yote yanayofanyiwa kazi na majirani basi nasi tuyafanyie kazi tusisubiri Generation Z ya Tanzania ilazimishe mambo.
 
Sidhani kama kuna nchi ambayo kodi za wananchi zinatumiwa vibaya kama Tanzania.

Viongozi wetu wasipobadilika kuna siku yatakuja kutokea ambayo wataomba dunia ipasuke katikati waingie
 
Akili na busara hiyo, hawana...wamejawa na KIBRI na DHARAU
 
Hakuna uwezekano wa kupata katiba mpya nchi hii kwa njia ya amani. Machafuko pekee ndio njia itatupatia katiba halisi ya wananchi.
Tuwape muda.
Kama wanaona mbele watafanya bila kushurutishwa
 
Tuwape muda.
Kama wanaona mbele watafanya bila kushurutisha
Tuko nje ya muda kwenye madai ya katiba mpya, kwa bahati mbaya mchakato wa katiba mpya unaporwa na wasioitaka katiba mpya. Nasisitiza hakuna uwezekano wa kupata katiba mpya ya wananchi itakayoratibiwa na hawa hawa wasioitaka.
 
Katiba ni mwarubaini mkubwa.mambo mengi yanayotukia sasa nikwasababu ya katiba.huu uchawa na matumizi ya ovyo nikwasababu ya ubovu wa katiba kumpa mtu mmoja madaraka ya kila kitu.Ukiwa na katiba bora wananchi wenyewe watajitune kuishi jinsi ilivyo kama sasa tunavyoishi na hii ya sasa.Kila mtu anaweza kua rais wa nchi itategemea tu na miongozo ikoje.
 
Kweli kabisa
 
Ingekuwa busara kubwa kama yote yanayofanyiwa kazi na majirani basi nasi tuyafanyie kazi tusisubiri Generation Z ya Tanzania ilazimishe mambo.
Badala ya kurekebisha mambo wanatutaka tumwombe mungu, sijui ni mungu wao yupi huyo anayependa hizi dhulma tunazofanyiwa.
 
Badala ya kurekebisha mambo wanatutaka tumwombe mungu, sijui ni mungu wao yupi huyo anayependa hizi dhulma tunazofanyiwa.
Dini ni kichaka cha wenye nguvu kufanya dhuluma
 
Shirika la reli ni kielelezo cha viongozi wa nchi hii wasivyojua vipaumbele vyao ni nini.

Shirika la reli linamiliki magari hayo ya kifahari mengi kuliko idadi ya mabehewa na injini za kusafirisha mizigo na abiria.

Daah Niliona LC300 ya MKK ni balaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…