Nidhamu katika Matumizi ya Kodi za Wananchi kwa Serikali na Viongozi wa Umma

Nidhamu katika Matumizi ya Kodi za Wananchi kwa Serikali na Viongozi wa Umma

Amani iwe nanyi wanabodi!

Hata tuwe na makusanyo kikodi ya trilioni 100 kwa mwezi kama hatutakuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha za wananchi nchi yetu itaendelea kuwa maskini milele!

Ukweli ni kwamba, hata haya makusanyo madogo tunayokusanya kupitia TRA, endapo Viongozi wetu wangeheshimu kuwa hizi ni kodi za wananchi na kuzitumia kwa nidhamu Nchi yetu ingepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka sana!

Leo hii tunaona wasanii wakisafirishwa kwa makundi kwenda nchi za Nje kwa kodi za wananchi.

Leo hii tunaona Serikali ikinunua magari ya kifahari kwa viongozi wake na wakati mwingine magari hayo yanatumika katika shughuli za Chama cha Mapinduzi. Haya yote ni kodi za wananchi

Leo hii tunaona kiongozi anaamua tu kugawa pesa anavyojisikia. Kwa kuwa haulizwi kazitoa wapi na ni za kwake au za Serikali basi anagawa tu atakavyo. Hizi nazo ni kodi za Wananchi

Leo hii tunaona mabango na picha za Viongozi kila mahala hadi kwenye mechi za mpira watu wanaingia na picha na tshirt zilizokuwa printed za Viongozi. Ukiangalia haya yote ni matumizi mabaya ya kodi za Wananchi.

Tuliona awamu ya Tano, Rais Magufuli alikuwa anatembea na mabulungutu ya hela huku akigawa kwa mtu yeyote anayejiskia mtaani. Zote zile ni kodi za wananchi.


Leo tunaona shughuli sizizo na msingi, mara kupokea Mwenge, mara kupokea ndege, mara uzinduzi wa hiki na kile. Yote haya ni matumizi yasiyo sahihi ya kodi za wananchi.


Nipende kuwaasa Viongozi. Ingawa Watanzania wanaweza kuwa wajinga kwa wakati huu ila nina uhakika hawatakuwa wajinga milele. Kuna siku watapata akili na kuhoji namna mnavyotumia vibaya kodi zao.

Ipo siku wanaweza kugoma hata kulipa kodi maana wanaona kodi wanayolipa inamsafirisha na kumpa hela Irene Uwoya aende Korea kusini kupiga picha na kuuza sura.

Kwa Wananchi.
Pambaneni sana kupata Katiba Mpya. Katiba inayoweka misingi ya uwajibikaji na kuwawajibisha Viongozi wanaotenda kinyume chake au kinyume na Sheria za Nchi.

Msingi wa Uwajibikaji ni Katiba. Msingi wa kuheshimu Sheria za Nchi na Katiba ni Katiba yenyewe.

Machawa tunaowalalamikia wanatunzwa na fedha zetu / kodi zetu ambazo zinatumiwa hovyo kwa sababu Katiba haijaweka misingi mizuri ya kuheshimu kodi za wananchi.
Mapato yameshuka wanahaha.
 
Amani iwe nanyi wanabodi!

Hata tuwe na makusanyo kikodi ya trilioni 100 kwa mwezi kama hatutakuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha za wananchi nchi yetu itaendelea kuwa maskini milele!

Ukweli ni kwamba, hata haya makusanyo madogo tunayokusanya kupitia TRA, endapo Viongozi wetu wangeheshimu kuwa hizi ni kodi za wananchi na kuzitumia kwa nidhamu Nchi yetu ingepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka sana!

Leo hii tunaona wasanii wakisafirishwa kwa makundi kwenda nchi za Nje kwa kodi za wananchi.

Leo hii tunaona Serikali ikinunua magari ya kifahari kwa viongozi wake na wakati mwingine magari hayo yanatumika katika shughuli za Chama cha Mapinduzi. Haya yote ni kodi za wananchi

Leo hii tunaona kiongozi anaamua tu kugawa pesa anavyojisikia. Kwa kuwa haulizwi kazitoa wapi na ni za kwake au za Serikali basi anagawa tu atakavyo. Hizi nazo ni kodi za Wananchi

Leo hii tunaona mabango na picha za Viongozi kila mahala hadi kwenye mechi za mpira watu wanaingia na picha na tshirt zilizokuwa printed za Viongozi. Ukiangalia haya yote ni matumizi mabaya ya kodi za Wananchi.

Tuliona awamu ya Tano, Rais Magufuli alikuwa anatembea na mabulungutu ya hela huku akigawa kwa mtu yeyote anayejiskia mtaani. Zote zile ni kodi za wananchi.


Leo tunaona shughuli sizizo na msingi, mara kupokea Mwenge, mara kupokea ndege, mara uzinduzi wa hiki na kile. Yote haya ni matumizi yasiyo sahihi ya kodi za wananchi.


Nipende kuwaasa Viongozi. Ingawa Watanzania wanaweza kuwa wajinga kwa wakati huu ila nina uhakika hawatakuwa wajinga milele. Kuna siku watapata akili na kuhoji namna mnavyotumia vibaya kodi zao.

Ipo siku wanaweza kugoma hata kulipa kodi maana wanaona kodi wanayolipa inamsafirisha na kumpa hela Irene Uwoya aende Korea kusini kupiga picha na kuuza sura.

Kwa Wananchi.
Pambaneni sana kupata Katiba Mpya. Katiba inayoweka misingi ya uwajibikaji na kuwawajibisha Viongozi wanaotenda kinyume chake au kinyume na Sheria za Nchi.

Msingi wa Uwajibikaji ni Katiba. Msingi wa kuheshimu Sheria za Nchi na Katiba ni Katiba yenyewe.

Machawa tunaowalalamikia wanatunzwa na fedha zetu / kodi zetu ambazo zinatumiwa hovyo kwa sababu Katiba haijaweka misingi mizuri ya kuheshimu kodi za wananchi.
Hela za umma kwao ni chereko!
Kama DAWASA wasivyojali maji kumwagika mtaani hovyo hovyo na bila kujali gharama wala raia wengine kukosa maji!
Viongozi wa hovyo hovyo SANA SANA HAWA!
 
Amani iwe nanyi wanabodi!

Hata tuwe na makusanyo kikodi ya trilioni 100 kwa mwezi kama hatutakuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha za wananchi nchi yetu itaendelea kuwa maskini milele!

Ukweli ni kwamba, hata haya makusanyo madogo tunayokusanya kupitia TRA, endapo Viongozi wetu wangeheshimu kuwa hizi ni kodi za wananchi na kuzitumia kwa nidhamu Nchi yetu ingepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka sana!

Leo hii tunaona wasanii wakisafirishwa kwa makundi kwenda nchi za Nje kwa kodi za wananchi.

Leo hii tunaona Serikali ikinunua magari ya kifahari kwa viongozi wake na wakati mwingine magari hayo yanatumika katika shughuli za Chama cha Mapinduzi. Haya yote ni kodi za wananchi

Leo hii tunaona kiongozi anaamua tu kugawa pesa anavyojisikia. Kwa kuwa haulizwi kazitoa wapi na ni za kwake au za Serikali basi anagawa tu atakavyo. Hizi nazo ni kodi za Wananchi

Leo hii tunaona mabango na picha za Viongozi kila mahala hadi kwenye mechi za mpira watu wanaingia na picha na tshirt zilizokuwa printed za Viongozi. Ukiangalia haya yote ni matumizi mabaya ya kodi za Wananchi.

Tuliona awamu ya Tano, Rais Magufuli alikuwa anatembea na mabulungutu ya hela huku akigawa kwa mtu yeyote anayejiskia mtaani. Zote zile ni kodi za wananchi.


Leo tunaona shughuli sizizo na msingi, mara kupokea Mwenge, mara kupokea ndege, mara uzinduzi wa hiki na kile. Yote haya ni matumizi yasiyo sahihi ya kodi za wananchi.


Nipende kuwaasa Viongozi. Ingawa Watanzania wanaweza kuwa wajinga kwa wakati huu ila nina uhakika hawatakuwa wajinga milele. Kuna siku watapata akili na kuhoji namna mnavyotumia vibaya kodi zao.

Ipo siku wanaweza kugoma hata kulipa kodi maana wanaona kodi wanayolipa inamsafirisha na kumpa hela Irene Uwoya aende Korea kusini kupiga picha na kuuza sura.

Kwa Wananchi.
Pambaneni sana kupata Katiba Mpya. Katiba inayoweka misingi ya uwajibikaji na kuwawajibisha Viongozi wanaotenda kinyume chake au kinyume na Sheria za Nchi.

Msingi wa Uwajibikaji ni Katiba. Msingi wa kuheshimu Sheria za Nchi na Katiba ni Katiba yenyewe.

Machawa tunaowalalamikia wanatunzwa na fedha zetu / kodi zetu ambazo zinatumiwa hovyo kwa sababu Katiba haijaweka misingi mizuri ya kuheshimu kodi za wananchi.
Katiba iliyopo inatoa msingi wa madaraka kwa wananchi.
Kinachokosekana siyo katiba bali watu wa kuisimamia na kuitetea katiba yenyewe (pamoja na mapungufu ya katiba iliyopo).
Mapambano dhidi ya nira za utumwa yapo tangu enzi na enzi na hayapatikani kwa kuomba maandishi bali vitendo (maandishi yaweza kuwepo, vitendo vikawa tofauti).
Lazima wananchi wajengewe fikra za madai ya vitendo kwanza, maandishi yafuate..
 
Katiba iliyopo inatoa msingi wa madaraka kwa wananchi.
Kinachokosekana siyo katiba bali watu wa kuisimamia na kuitetea katiba yenyewe (pamoja na mapungufu ya katiba iliyopo).
Mapambano dhidi ya nira za utumwa yapo tangu enzi na enzi na hayapatikani kwa kuomba maandishi bali vitendo (maandishi yaweza kuwepo, vitendo vikawa tofauti).
Lazima wananchi wajengewe fikra za madai ya vitendo kwanza, maandishi yafuate..
Waandishi wa Katiba hii walijua kuwa wakiweka kila kitu wazi wananchi watafunguka akili mapema sana.

Madaraka yamewekwa kwa wananchi na wakati huo huo inasema Rais halazimiki kutekeleza ushauri wowote anaopewa.

Kwa hilo tu Rais kawekwa juu ya hao wananchi.
 
Waandishi wa Katiba hii walijua kuwa wakiweka kila kitu wazi wananchi watafunguka akili mapema sana.

Madaraka yamewekwa kwa wananchi na wakati huo huo inasema Rais halazimiki kutekeleza ushauri wowote anaopewa.

Kwa hilo tu Rais kawekwa juu ya hao wananchi.
Katiba hiyo hiyo imewapa wananchi namna ya kumuondoa Rais na serikali yake kwa uchaguzi.
Hata hivyo, kuna maelezo kwamba tume haitoi matokeo ya haki.
Hayo malalamiko yanajengeka kwenye fikra hasi kwa sababu tume, serikali, na hata vyombo vya dola ni wachache sana kupinga maamuzi ya mamilioni ya wananchi wenye akili, nguvu na fikra chanya.
 
Amani iwe nanyi wanabodi!

Hata tuwe na makusanyo kikodi ya trilioni 100 kwa mwezi kama hatutakuwa na nidhamu katika matumizi ya fedha za wananchi nchi yetu itaendelea kuwa maskini milele!

Ukweli ni kwamba, hata haya makusanyo madogo tunayokusanya kupitia TRA, endapo Viongozi wetu wangeheshimu kuwa hizi ni kodi za wananchi na kuzitumia kwa nidhamu Nchi yetu ingepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka sana!

Leo hii tunaona wasanii wakisafirishwa kwa makundi kwenda nchi za Nje kwa kodi za wananchi.

Leo hii tunaona Serikali ikinunua magari ya kifahari kwa viongozi wake na wakati mwingine magari hayo yanatumika katika shughuli za Chama cha Mapinduzi. Haya yote ni kodi za wananchi

Leo hii tunaona kiongozi anaamua tu kugawa pesa anavyojisikia. Kwa kuwa haulizwi kazitoa wapi na ni za kwake au za Serikali basi anagawa tu atakavyo. Hizi nazo ni kodi za Wananchi

Leo hii tunaona mabango na picha za Viongozi kila mahala hadi kwenye mechi za mpira watu wanaingia na picha na tshirt zilizokuwa printed za Viongozi. Ukiangalia haya yote ni matumizi mabaya ya kodi za Wananchi.

Tuliona awamu ya Tano, Rais Magufuli alikuwa anatembea na mabulungutu ya hela huku akigawa kwa mtu yeyote anayejiskia mtaani. Zote zile ni kodi za wananchi.


Leo tunaona shughuli sizizo na msingi, mara kupokea Mwenge, mara kupokea ndege, mara uzinduzi wa hiki na kile. Yote haya ni matumizi yasiyo sahihi ya kodi za wananchi.


Nipende kuwaasa Viongozi. Ingawa Watanzania wanaweza kuwa wajinga kwa wakati huu ila nina uhakika hawatakuwa wajinga milele. Kuna siku watapata akili na kuhoji namna mnavyotumia vibaya kodi zao.

Ipo siku wanaweza kugoma hata kulipa kodi maana wanaona kodi wanayolipa inamsafirisha na kumpa hela Irene Uwoya aende Korea kusini kupiga picha na kuuza sura.

Kwa Wananchi.
Pambaneni sana kupata Katiba Mpya. Katiba inayoweka misingi ya uwajibikaji na kuwawajibisha Viongozi wanaotenda kinyume chake au kinyume na Sheria za Nchi.

Msingi wa Uwajibikaji ni Katiba. Msingi wa kuheshimu Sheria za Nchi na Katiba ni Katiba yenyewe.

Machawa tunaowalalamikia wanatunzwa na fedha zetu / kodi zetu ambazo zinatumiwa hovyo kwa sababu Katiba haijaweka misingi mizuri ya kuheshimu kodi za wananchi.
Umeongea kitu sahihi kabisa nakupongeza kwa mtizamo wako ndugu yangu. Kama nchi yetu ingekuwa, na kitu ambacho wana uchumi wanakiita scale of preference., basi tungeweza kuwa na lami kila kijiji cha Tanzania.
 
Umeongea kitu sahihi kabisa nakupongeza kwa mtizamo wako ndugu yangu. Kama nchi yetu ingekuwa, na kitu ambacho wana uchumi wanakiita scale of preference., basi tungeweza kuwa na lami kila kijiji cha Tanzania.
Sahihi kabisa. Na sio lami tu. Haya masuala ya kujenga madarasa ya wanafunzi, sijui vyoo tungekuwa tumeshaachana nayo kitambo sana!

Kuna hela nyingi sana zinafujwa vibaya sana hapa Tanzania. Alafu kwa kuwa wananchi hawaongei basi na viongozi wanaona ni sawa tu kufuja hizo hela.

Jana Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema kwa harusi zitakazofungwa Arusha Ofisi yake italipia. Ingekuwa nchi za wenzetu huko leo asubuhi angekuwa anekaliwa kooni na walipakodi hadi ameomba radhi maana huwezi tumia fedha za walipakodi namna unavyojisikia tu!
 
Kama waziri wa fedha aliingia bungeni na msafara usio tija kwenda kusoma bajeti ili kukoga wananchi, usitegemee matumizi sahihi ya fedha za wananchi. Kila siku nasema bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, tusitegemee mabadiliko yoyote ya maana hapa nchini. Hii nchi inatakiwa factory reset ili tuanze upya kiutawala.
"Njia pekee ambayo Wananchi wataitukia katika kuzungumza au kujadiliana na Watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI."
Jeff's O'Brien.
 
Kazi yao kuwahubiria wananchi, hii nchi ni masikini sana. Tunahitaji kukopa, toeni kodi kwa maendeleo ya nchi. (Hapa tusikubwa sana)

Nawaambia hii nchi wala siyo masikini, ila wananchi wake ndiyo wamefanywa masikini ili viongozi waishi kitajiri.

Zaidi ya miaka 60 bado tunahangaika na umeme, maji, barabara, madarasa n.k wanakopa kila mara, hizo pesa zinatumiwa kwenye nini? Kama haya matatizo bado tunayo!
 
Back
Top Bottom