Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Ndiyo,
Tunaitaka haraka sana hiyo nidhamu ya uwoga ambayo Leo tunaona ilikuwa na mapungufu na haifai kumbe iliweza kuzuia ufisadi MSD
Nidhamu ya uwoga ndiyo iliyoleta ufanisi Mkubwa na usimamizi mzuri wa kodi za wananchi karibu kila pahala
Haitoshi tuu kuwa kiongozi sehemu Fulani na uongozi wako usiwe na matokeo yoyote kwa unaowaongoza! Ila itakuwa ni jambo la heshima kubwa na utajivunia popote ikiwa uongozi wako utaleta matokeo kwa walengwa
Jiulize,
Kipngozi, unapata vipi furaha ya kuwa kiongozi ikiwa umekuwa sababu ya watu kupoteza maisha na wengine kupoteza viungo vyao kwa sababu tuu umeshindwa kusimamia vema ili watu wapate huduma?
Ikiwa nidhamu ya uwoga ndiyo inayoweza kusaidia kuondoa wizi na ufisadi, tunaanza vipi kuiponda?
Nakumbuka usemi wa kiongozi mmoja aliyefariki kipindi cha hivi karibuni alisema kwa uchungu hivii
Nyinyi wawekezaji ambao mnaiibia nchi na kwa sababu yenu wananchi wamekosa huduma za msingi, wanakufa kwa sababu mahosipitali hayana dawa, wanakufa kwa sababu wanakosa sehemu ya kujifungulia, wanakufa kwa sababu tuu wamekosa ambulance ya kuwawahisha ili wakapate huduma, mnapata wapi hiyo furaha ya kufurahia watu wakifa kwa sababu tuu mnawaibia Mali zali zao na hamlipi kodi?
Vipi kwako wewe kiongozi uliyepewa dhamana, Utaishambuliaje hiyo nidhamu ya uwoga iliyozuia wizi wa manunuzi ya hovyo MsD na wananchi kupata huduma bora?
Kwa ripoti ya SAG, kuna wizi wa mamiloni pale MSD na hakuna hatua zilizochukuliwa mpaka sasa, hiyo ndiyo nidhamu tunayoitaka?
Tunaitaka haraka sana hiyo nidhamu ya uwoga ambayo Leo tunaona ilikuwa na mapungufu na haifai kumbe iliweza kuzuia ufisadi MSD
Nidhamu ya uwoga ndiyo iliyoleta ufanisi Mkubwa na usimamizi mzuri wa kodi za wananchi karibu kila pahala
Haitoshi tuu kuwa kiongozi sehemu Fulani na uongozi wako usiwe na matokeo yoyote kwa unaowaongoza! Ila itakuwa ni jambo la heshima kubwa na utajivunia popote ikiwa uongozi wako utaleta matokeo kwa walengwa
Jiulize,
Kipngozi, unapata vipi furaha ya kuwa kiongozi ikiwa umekuwa sababu ya watu kupoteza maisha na wengine kupoteza viungo vyao kwa sababu tuu umeshindwa kusimamia vema ili watu wapate huduma?
Ikiwa nidhamu ya uwoga ndiyo inayoweza kusaidia kuondoa wizi na ufisadi, tunaanza vipi kuiponda?
Nakumbuka usemi wa kiongozi mmoja aliyefariki kipindi cha hivi karibuni alisema kwa uchungu hivii
Nyinyi wawekezaji ambao mnaiibia nchi na kwa sababu yenu wananchi wamekosa huduma za msingi, wanakufa kwa sababu mahosipitali hayana dawa, wanakufa kwa sababu wanakosa sehemu ya kujifungulia, wanakufa kwa sababu tuu wamekosa ambulance ya kuwawahisha ili wakapate huduma, mnapata wapi hiyo furaha ya kufurahia watu wakifa kwa sababu tuu mnawaibia Mali zali zao na hamlipi kodi?
Vipi kwako wewe kiongozi uliyepewa dhamana, Utaishambuliaje hiyo nidhamu ya uwoga iliyozuia wizi wa manunuzi ya hovyo MsD na wananchi kupata huduma bora?
Kwa ripoti ya SAG, kuna wizi wa mamiloni pale MSD na hakuna hatua zilizochukuliwa mpaka sasa, hiyo ndiyo nidhamu tunayoitaka?