SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kuna jambo limekuwa linanitatiza muda mrefu. Embu wadau nielewesheni.
Mfano jackpot ya Sportpesa inasema jackpot ni 1.2B, ila kuna zawadi kwa kupata mechi 16/17 hadi 12/17 na zawadi zinatajwa. Cha kushangaza, ukija kuangalia matokeo na zawadi zilizotolewa ni kiduchu sana kulinganisha na ile iliyotajwa awali.
Mfano angalia kwenye picha hizo. Mshindi wa mechi 14 walisema anapata 400M, ila alipokuja kupata tena ni mtu mmoja tu kwa hiyo hakuna kugawana, kapewa 4.8M tu.
Hata ukiangalia hao wa 13/17, ukizidisha idadi yao kwa hiyo zawadi waliyopewa inakuja jumla kama 6M tu wakati inaonyesha walitakiwa kugawana 240M.
Hii imekaaje? Au kuna jambo sijalielewa katika hii michezo?
Mfano jackpot ya Sportpesa inasema jackpot ni 1.2B, ila kuna zawadi kwa kupata mechi 16/17 hadi 12/17 na zawadi zinatajwa. Cha kushangaza, ukija kuangalia matokeo na zawadi zilizotolewa ni kiduchu sana kulinganisha na ile iliyotajwa awali.
Mfano angalia kwenye picha hizo. Mshindi wa mechi 14 walisema anapata 400M, ila alipokuja kupata tena ni mtu mmoja tu kwa hiyo hakuna kugawana, kapewa 4.8M tu.
Hata ukiangalia hao wa 13/17, ukizidisha idadi yao kwa hiyo zawadi waliyopewa inakuja jumla kama 6M tu wakati inaonyesha walitakiwa kugawana 240M.
Hii imekaaje? Au kuna jambo sijalielewa katika hii michezo?