chrissmeck
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 110
- 105
Yupo 40/40 siku hizina kaptula zake basi shida tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo 40/40 siku hizina kaptula zake basi shida tupu
Kwani usawa umefanyaje? Anapokonya hela za watu mkononi?usawa huu huu wa Magu
Kiwanja kipi na chenye mizigo mikali
MakhirikhiriKiwanja kipi na chenye mizigo mikali
Hahaha hapo pana lodge moja inaitwa super lodge..ni very usefully kwangu mkuuNjoo kinyerez shule hapa nyuma ya ghorofa la Liz moko uku ni kwa maalwatan tu...huko 40 tumewaachia vijana wa vyuo Na mabishoo
ah mie mpita njia tu hapo.Mwenyewe utakuwepo hapo, ni PM namba yako nitakutafuta tuwe wote.
NOTE; me sio mtekaji kuwa na aman
Hahaha super lodge au kinyerezi lodge Hapo mkuu unaweza kuaga home unaenda mkoani Kumbe Upo kinyerezi..karibu kijiweni wastaafu bar tule utumbo wa mbuzi mkuu!!Hahaha hapo pana lodge moja inaitwa super lodge..ni very usefully kwangu mkuu
Vipi pana vibe kwa leo?Mliopo Mikasa Lounge tujuane
Vipi pana vibe kwa leo?
Hiyo Ni kwa siku nyingine leo siku imeishaSmall planet ndio mpango mzima...