Collins Munuo
Member
- Jul 29, 2021
- 10
- 6
Samahani naomba mnisaidie nimechaguliwa Bsc in Phy udom.. Bsc in Kemia mwecahu.. Bsc in IT with account IFM na bsc in food science an techn SUA niende wapi na kozi gani kulingana na soko la ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chagua unayopenda wew ila Bsc in chemistry iko gud zaidSamahani naomba mnisaidie nimechaguliwa Bsc in Phy udom.. Bsc in Kemia mwecahu.. Bsc in IT with account IFM na bsc in food science an techn SUA niende wapi na kozi gani kulingana na soko la ajira
Sio nilikuwa sin maleng kk my dream kozi sijachaguliwa nimekuta wamenichagua hizo tyEnenda SUA mkuu, kama hauna option au hujui malengo yako na hukuapply ukijua kozi hizo. Best hapo ni SUA lakini zingine pia ni best ila kwa upeo wangu ni hivyo.
Kwahiyo hiyo ya IFM bsc in IT with accounting nitafit kwny fursa nyingi za kibiashara lkn vip kuhs competence ya ajiraNenda kozi ambayo ipo general yn hta ukimaliza unaeza ekwa popote kwangu mm naona hyo ya IFM ndo ina afadhali japo food science na chemistry sio mbaya kma utapata connection uko baadae
Mkuu nimekushauri food science kwa sabu nina mdogo wangu anaisoma hiyo pia kuna jamaa zangu wawili nimeishi nao wameisoma hiyo sio kozi nyepesi lakini kwa upande wa ajira sio mbaya sana tofauti na zingine hizo ambazo sina idea nazo ikiwemo hiyo ya IFM lakini Chemistry jamaa zangu pia kadhaa wameisoma kwa upande wa ajira changamoto kidogo labda utaanza kwa kujitolea na kufanya intern. Food science ni maarufu na ni special kwa watu walosoma hiyo kozi tu tofauti na Chemistry na hiyo IT ambazo huwa na watu wa kozi zingine tofauti tofauti hivyo hata competition huwa kubwa kidogo. Kingine ukiona haifai hiyo bhas kuna baadhi ya kozi za SUA ukiwa pale zitakufaa, kikubwa ni juhudi katika jambo lolote.Sio nilikuwa sin maleng kk my dream kozi sijachaguliwa nimekuta wamenichagua hizo ty
Chemistry ni nzur na hyo ya sua nzur pia....mwecau ndo chuo gan tena jaman..khaaChagua unayopenda wew ila Bsc in chemistry iko gud zaid
Mwenge Catholic universityChemistry ni nzur na hyo ya sua nzur pia....mwecau ndo chuo gan tena jaman..khaa
Ajira hazitabiliki mdogo angu mambo ya kizamani yale sijui kozi alisoma nani ss hv anapesa hayapo siku hzi kama unajua huna connection piga kozi ambayo ni general hta ukimaliza popote unaweza kukaa ukapiga kazi ndo maana nakushauri hyo ya IFM japo food science na chemistry sio mbya ila uhakika wa ajira ndo changamotoKwahiyo hiyo ya IFM bsc in IT with accounting nitafit kwny fursa nyingi za kibiashara lkn vip kuhs competence ya ajira
Kapige accounting witf IT, IFM
Akapate tabu, sio? SUA kile sio chuo ni advance iliyochangamka.Enenda SUA mkuu, kama hauna option au hujui malengo yako na hukuapply ukijua kozi hizo. Best hapo ni SUA lakini zingine pia ni best ila kwa upeo wangu ni hivyo.
Nenda uhasibu tu mzee au chemistry walau unaweza ajiriwa pale mamlaka ya chakula na madawa!Samahani naomba mnisaidie nimechaguliwa Bsc in Phy udom.. Bsc in Kemia mwecahu.. Bsc in IT with account IFM na bsc in food science an techn SUA niende wapi na kozi gani kulingana na soko la ajira
Food science hoteli ni nyingi anaweza kuwa mpishi tu hata Samaki Samaki 😅Mkuu nimekushauri food science kwa sabu nina mdogo wangu anaisoma hiyo pia kuna jamaa zangu wawili nimeishi nao wameisoma hiyo sio kozi nyepesi lakini kwa upande wa ajira sio mbaya sana tofauti na zingine hizo ambazo sina idea nazo ikiwemo hiyo ya IFM lakini Chemistry jamaa zangu pia kadhaa wameisoma kwa upande wa ajira changamoto kidogo labda utaanza kwa kujitolea na kufanya intern. Food science ni maarufu na ni special kwa watu walosoma hiyo kozi tu tofauti na Chemistry na hiyo IT ambazo huwa na watu wa kozi zingine tofauti tofauti hivyo hata competition huwa kubwa kidogo. Kingine ukiona haifai hiyo bhas kuna baadhi ya kozi za SUA ukiwa pale zitakufaa, kikubwa ni juhudi katika jambo lolote.
Akitoka pale atakuwa vizuri, akapambane.Akapate tabu, sio? SUA kile sio chuo ni advance iliyochangamka.
Acha zote hizo nenda kaseme bsc. In geomatics au geonformatics udom au ardhi utakuja niambia mzee!!!Samahani naomba mnisaidie nimechaguliwa Bsc in Phy udom.. Bsc in Kemia mwecahu.. Bsc in IT with account IFM na bsc in food science an techn SUA niende wapi na kozi gani kulingana na soko la ajira