Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Food science hoteli ni nyingi anaweza kuwa mpishi tu hata Samaki Samaki
Kwa Calito Mzee wa jicho moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Food science hoteli ni nyingi anaweza kuwa mpishi tu hata Samaki Samaki
Kwa Calito Mzee wa jicho moja?
Kwa Calito mzee wa jicho moja?Food science hoteli ni nyingi anaweza kuwa mpishi tu hata Samaki Samaki 😅
Pale uhakikaKwa Calito mzee wa jicho moja?
Kijana Collins Munuo kuna ushauri mzuri hapa njoo uuchukue bila kujiuliza mara mbili.Acha zote hizo nenda kaseme bsc. In geomatics au geonformatics udom au ardhi utakuja niambia mzee!!!
Hii coz ukilala njaa labda upende wewe. Ni rahisi kuajiliwa pia rahisi sana kujiajili!!....Kijana Collins Munuo kuna ushauri mzuri hapa njoo uuchukue bila kujiuliza mara mbili.
Soko la ajira kwa sasa halina ajira, mpaka madokta wako nyumbani hawana kazi!Samahani naomba mnisaidie nimechaguliwa Bsc in Phy udom.. Bsc in Kemia mwecahu.. Bsc in IT with account IFM na bsc in food science an techn SUA niende wapi na kozi gani kulingana na soko la ajira
😅😅😅Food science hoteli ni nyingi anaweza kuwa mpishi tu hata Samaki Samaki 😅
HahahaChemistry ni nzur na hyo ya sua nzur pia....mwecau ndo chuo gan tena jaman..khaa
Kozi nzr Sana hizo hasa hiyo Geoinformatics Ina application nyingi sanaAcha zote hizo nenda kaseme bsc. In geomatics au geonformatics udom au ardhi utakuja niambia mzee!!!
Bila connection hata upishi atausikia tu.. 😀😀Food science hoteli ni nyingi anaweza kuwa mpishi tu hata Samaki Samaki 😅
Kwann unamsingizia dogo?Wakuu nina dogo kachaguliwa BSC in microbiology
Vipi soko Lake kwa sasa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ina deal Na Nini?Hii coz ukilala njaa labda upende wewe. Ni rahisi kuajiliwa pia rahisi sana kujiajili!!....