Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

Alaf miaka minne mingi yanachuja tu.

kile kilichoandikwa miaka 10 ni lugha za biashara tu. Wanajua huwezi kuwafata ni usumbufu tu
Sio kweli nimeezeka kwa bati za ALAF toka mwaka 1994 bado bati zina ubora wa hali ya juu hazijaweka kutu wala kufubaa na kupauka.
Pia nimepaua kwa ALAF Mjengo wa pili toka mwaka 2002 hadi leo hii paa langu ni bora halija Pauka wala kufubaa.
 
Sio lweli nomeezeka kwa bati xa ALAF toka mwaka 1994 bado bati zina u ora wa hali ya juu hazijaweka kutu wala kufubaa na kupauka.
Pia nimepaua kwa ALAF Mjengo wa pili tika mwaka 2002 hadi leo hii paa langu ni bora halika Paula wala kufubaa.
Mkuu sema ukweli ndugu yangu au wewe ndio Mwenye Hisa na ALAF kiasi unasema uongo??

Bati la 1994 halijafubaa wala kuweka Kutu?? Do you know how many years past??🤣🤣
 
Mkuu sema ukweli ndugu yangu au wewe ndio Mwenye Hisa na ALAF kiasi unasema uongo??

Bati la 1994 halijafubaa wala kuweka Kutu?? Do you know how many years past??🤣🤣
Mkuu sina sababu ya kudanganya kwani naphtali faida gani nijikudanganya
Mkuu sema ukweli ndugu yangu au wewe ndio Mwenye Hisa na ALAF kiasi unasema uongo??

Bati la 1994 halijafubaa wala kuweka Kutu?? Do you know how many years past??🤣🤣
Mkuu huo ndo ukweli sina sababu ya kudanganya. Sina maslahi yoyote ALAF labda nina fanya kazi hapo au nina ndugu au hata rafiki anaefanya kazi hapo hapana .Nilicho andika ni ukweli kuhusu ninavyo fahamu ubora wa bati za ALAF
 
weka photo hilo paa
 
Ungeanzisha uzi basi, afu uweke picha kadhaa za vitu ulivyokamilisha
 
Mabati yalichukuliwa kiwandani ALAF
Ukichukua bati kiwandani ALAF hakikisha unafanya escort mwenyewe mpaka site na wakati wa kupaua uwe hapo hapo ukikwepesha macho kidogo tu watu wanaingia nayo buguruni wanabadilisha faster unakua umepigwa
 
Nenda kachukue sunshare.Kwanza wana vipimo vya huakika wanapima uber sawa rangi na uimara wa bati.Alaf ni jina tu lakini bati zao ni za kawaida sana.kachukue gauge 30 pale sunshare huto juta.
Hilo jina limetokana na nini?
 
najua ALAF na SUNSHARE hazipauki lakini siwezi nunua bati moja elfu 40 ni bora hiyo pesa nifanyie finishing ya maana ndani.
 

Bro should i have your number tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…