Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

Na kwa ndani ni muonekano huu[emoji1541]View attachment 2261174

Hapo umepunguza gharama za mbao za kuezekea, umepunguza gharama za mabati, umepunguza msongamano wa mafundi, umepunguza gharama za mbao za kupigia gysum boards, umepunguza gharama za gysum boards, umeokoa nafasi kubwa ya kipaa. Na kama ulianza kujenga kwa msingi mzuri na ukajenga kuta kwa tofari zenye uimara unaokubalika, unakua umeshapata kiwanja kingine (ghorofa) juu ya nyumba yako.

Abraar Bricks Nyumba kwa Wote. Ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi 0625249605.
Kwa juu inaonekana vipi? Je Kuna slope mnaweka!

Ukiweka na picha ya nyumba iliyo Isha itakua vizuri tuone taa na vitu kama feni vilivyo kaa.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Kwa juu inaonekana vipi? Je Kuna slope mnaweka!

Ukiweka na picha ya nyumba iliyo Isha itakua vizuri tuone taa na vitu kama feni vilivyo kaa.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Juu inawezekana kuweka slope au pakawa flat tu au juu yake tena tukaezeka na vigae vyetu, ikawa umepata nafasi kubwa ya kivuli, au kama ukuta wako chini ulitumia bidhaa zetu kujengea basi unaata vyumba vingoiine.

Huu ni umionekano wa juu:
 

Attachments

  • VID-20220603-WA0045.mp4
    4.9 MB
  • VID-20220603-WA0046.mp4
    6.6 MB
Juu inawezekana kuweka slope au pakawa flat tu au juu yake tena tukaezeka na vigae vyetu, ikawa umepata nafasi kubwa ya kivuli, au kama ukuta wako chini ulitumia bidhaa zetu kujengea basi unaata vyumba vingoiine.

Huu ni umionekano wa juu:
Je kwa upande wa JOTO? Inakuaje
Na vp wirering yake kwa ndani juu?na kuweka urembo au mafeni?
 
Abraar Education Centre tuna mpango wetu unaitwa Abraar Bricks Nyumba kwa Wote.

Tunashauri wote tuachane kuezeka kwa mabati kua ndio uwekezaji wa "msingi" kabisa, bati libaki kua ni urembo tu katika ujenzi.

Fatilia mpango wa Abraar Bricks Nyumba kwa wote, tuna ueekezaji wetu ambao unaleta mabadiliko katika ujenzi wa Tanzania. kwa sababu:

1) Gharama nafuu na ubora wa hali ya juu.

2) Unaweza kuezeka chumba kimoja kimoja kwa ubora wa hali ya juu.

3) Hakuna gharama za mbao za kuezekea. Unaokoa gharama.

4) Hakuna gharama za bati wala kuhangaika kuchagua ni bati lipi uezekee.

5) Hakuna gharama za mbao za la gypsum boards.

6) Hakuna gharama za gypsum oards.

7) Unaezeka kwa kipaa ambacho kinaku[atia nafasi kubwa juu ya nyumba yako, sawa na jengo la chini.

8) Hakuna mbao kuoza.

9) Hakuna repair za bati.

10) Unaokoa muda wa ujenzi kwa asilimia 60.


Uezejkaji wetu umelenga kila mtu mwenye nia ya kujenga aweze kujenga.

Ubora wa hali ya juu kwa Gharama nafuu.

Wasiliana nasi kwa 0625249605 au 0656399856.
 
Abraar Education Centre tuna mpango wetu unaitwa Abraar Bricks Nyumba kwa Wote.

Tunashauri wote tuachane kuezeka kwa mabati kua ndio uwekezaji wa "msingi" kabisa, bati libaki kua ni urembo tu katika ujenzi.

Fatilia mpango wa Abraar Bricks Nyumba kwa wote, tuna ueekezaji wetu ambao unaleta mabadiliko katika ujenzi wa Tanzania. kwa sababu:

1) Gharama nafuu na ubora wa hali ya juu.

2) Unaweza kuezeka chumba kimoja kimoja kwa ubora wa hali ya juu.

3) Hakuna gharama za mbao za kuezekea. Unaokoa gharama.

4) Hakuna gharama za bati wala kuhangaika kuchagua ni bati lipi uezekee.

5) Hakuna gharama za mbao za la gypsum boards.

6) Hakuna gharama za gypsum oards.

7) Unaezeka kwa kipaa ambacho kinaku[atia nafasi kubwa juu ya nyumba yako, sawa na jengo la chini.

8) Hakuna mbao kuoza.

9) Hakuna repair za bati.

10) Unaokoa muda wa ujenzi kwa asilimia 60.


Uezejkaji wetu umelenga kila mtu mwenye nia ya kujenga aweze kujenga.

Ubora wa hali ya juu kwa Gharama nafuu.

Wasiliana nasi kwa 0625249605 au 0656399856.
Picha tafadhali
 
Picha tafadhali
Waffles Finishing IMG-20210201-WA0025.jpg
 
Mtaalamu Wa Finishing kali zenye viwango vya juu vya ubora ....nipo DSM na mikoani nafika

Tunashughulika na Yafuatayo

[emoji3502] UREMBO WA KISASA

[emoji3502]PLASTA ZA KISASA

[emoji3502]SKIMING NA RANGI

[emoji3502]TILES

[emoji3502]USIMAMIZI WA KAZI

[emoji3502]TUPO TEMEKE

[emoji830]CONT. [emoji336]0789005562

Kwa bei ya kizalendo nitafanya nyumba yako ipendeze na ivutie kwa kazi Nzuri

Na kwa sasa tuna offer

Dirisha Tsh 35,000

Kona Tsh 35,000

Nguzo Tsh 40,000

Mlango Tsh 30,000

Dining (Arch) 80,000

Arch ya nje Tsh 20,000

Skating nzima Tsh 2,000,00

Nipigie kwa namba hii 0789005562View attachment 2117514View attachment 2117516View attachment 2117517View attachment 2117513View attachment 2117515View attachment 2117519View attachment 2117521View attachment 2117518View attachment 2117520
Offer Ya Mwezi huu!

Dirisha Tsh 30,000

Nguzo Tsh 35,000

Kona Tsh 30,000

Skating Tsh 150,000

Arch/ndani Tsh 80,000

Arch/Nje Tsh 20,000

Tunapatikana Temeke Dsm

[emoji338] 0789005562

What'sApp link.... [emoji1484][emoji1484]

Wa.me/255789005562

#ujenzi #ujenzizone #ujenziwanyumbaboratz #ujenzizone #ujenzizone_tz #finishing #TANZANIA #tanzania #FINISHING
IMG_20220920_082154_085.jpg
IMG_20220920_082113_051.jpg
IMG_20220920_082154_104.jpg
 
Offer Ya Mwezi huu!

Dirisha Tsh 30,000

Nguzo Tsh 35,000

Kona Tsh 30,000

Skating Tsh 150,000

Arch/ndani Tsh 80,000

Arch/Nje Tsh 20,000

Tunapatikana Temeke Dsm

[emoji338] 0789005562

What'sApp link.... [emoji1484][emoji1484]

Wa.me/255789005562

#ujenzi #ujenzizone #ujenziwanyumbaboratz #ujenzizone #ujenzizone_tz #finishing #TANZANIA #tanzania #FINISHINGView attachment 2362347View attachment 2362348View attachment 2362349
OFFER IMEKUFIKIA MKAZI WA TABORA NA MAENEO YA JIRANI! IGUNGA TUMEWEKA KAMBI...

House FinishinG

Plasta Ya Kiwango

Urembo wa kisasa

SkimminG na RanGi


[emoji338] 0789005562

Enewei! Tuyaache hayo!
Bei za urembo ni hizi hapa [emoji1484][emoji1484]



Dirisha Tsh 40,000

Nguzo Tsh 40,000

Kona Tsh 40,000

Skating Tsh 200,000

Plasta tutapatana tukifika saiti!

Simu : 0789005562


What'sApp link.... [emoji1484][emoji1484]

Wa.me/255789005562


#ujenzi #ujenzizone #ujenziwanyumbaboratz #ujenzizone #ujenzizone_tz #finishing #TANZANIA #tanzania #FINISHING
 
OFFER IMEKUFIKIA MKAZI WA TABORA NA MAENEO YA JIRANI! IGUNGA TUMEWEKA KAMBI...

House FinishinG

Plasta Ya Kiwango

Urembo wa kisasa

SkimminG na RanGi


[emoji338] 0789005562

Enewei! Tuyaache hayo!
Bei za urembo ni hizi hapa [emoji1484][emoji1484]



Dirisha Tsh 40,000

Nguzo Tsh 40,000

Kona Tsh 40,000

Skating Tsh 200,000

Plasta tutapatana tukifika saiti!

Simu : 0789005562


What'sApp link.... [emoji1484][emoji1484]

Wa.me/255789005562


#ujenzi #ujenzizone #ujenziwanyumbaboratz #ujenzizone #ujenzizone_tz #finishing #TANZANIA #tanzania #FINISHING
Mtaalamu Wa Finishing kali zenye viwango vya juu vya ubora ....nipo DSM na mikoani nafika

Tunashughulika na Yafuatayo

[emoji3502] UREMBO WA KISASA

[emoji3502]PLASTA ZA KISASA

[emoji3502]SKIMING NA RANGI

[emoji3502]TILES

[emoji3502]USIMAMIZI WA KAZI

[emoji3502]TUPO TEMEKE

[emoji830]CONT. [emoji336]0789005562

Kwa bei ya kizalendo nitafanya nyumba yako ipendeze na ivutie kwa kazi Nzuri

Na kwa sasa tuna offer

Dirisha Tsh 35,000

Kona Tsh 35,000

Nguzo Tsh 40,000

Mlango Tsh 30,000

Dining (Arch) 80,000

Arch ya nje Tsh 20,000

Skating nzima Tsh 2,000,00

Nipigie kwa namba hii 0789005562View attachment 2117514View attachment 2117516View attachment 2117517View attachment 2117513View attachment 2117515View attachment 2117519View attachment 2117521View attachment 2117518View attachment 2117520
 
#Kelv

Hizo hapa #showcase kali kabisa kwa Laki 5 tu za kitanzania nakukabidhi hapo Seblen kwako!

Natumia mbao, misumari, body na screw na wallput

Karibu tukuhudumie!.....Kwa laki 5 unaipata hii kila kitu kwangu kwa Dsm...mikoani nipigie tuongee...0789005562 au wasap Wa.me/255789005562

#ujenzieatv #ujenzizone #choobora #kelv #finishingtouches #ujenzidsm #ujenzizanzibar #ujenzitz #ujenziwanyumbaboratz #finishingmaster #TvWall #tvwallinstallation #tvwalldesign #tvshow

By

Kelvin Hk
status_me_status_IMG-20230201-WA0037.jpg
status_me_status_IMG-20230201-WA0038.jpg
status_me_status_IMG-20230201-WA0035.jpg
 
Alaf ndio hati bora kuliko zote hapa nchini
Alaf ni brand tu ya siku nyingi lakini kuna kampuni nyingine zinazarisha bati bora kabisa like Sunshare,Nabaki n.k.Tusiishi kwa kukariri!!
 
Nilichukua mzigo Dragon mwaka jana. Nitaendelea kuwa shahidi mwaminifu kutia ushuhuda. Kuna watu walinitisha eti baada ya miezi sita zitachuja. Bado ni mpyaaa
Hali ipoje mpaka sasa mkuu kwa bati ya dragon?
 
Zote bora cha msingi nacha kuangalia ni gage na ujazo unene wa bati
Viwanda huwa vinapewa standard za kufata na standard huwa inapimwa na Tbs
Mfano polly pipe ya cello ni sawa na polly pipe ya victoria cha msingi ni zote ziwe class 1
Polly class C ya cello ni sawa na polly class c ya victoria
Shida ya mafundi wa kitanzania huwa wanafanya kaz kwa mazoea
Amezoea bati la Simba ukimretea alaf atakwambia ni baya sabu kazoea bati la simba
 
Mimi km muuaji na mmiliki wa hardware tunapata shida sana toka kwa mafundi sabu mafundi weng hawafuati profeshino yao ila wanafanya kaz kwa mazoea
Vifaa vya umeme vya tropical na africab ni vifaa bora sana ila sku izi kila fundi akija anakwambia anataka vifaa vya tronic unabaki unashangaa
Switch socket ya tropical au africab ni same quality na tronic ila kwakua trend na wamekalili tronic ni bora bas huwaambii kitu
 
Naomna ukasome uzi wangu kuhusu elimu ya bati.

Unless wewe uwe ni dalali wa Alaf.

Bei ya Alaf sio kwa sababu ya ubora bali vipimo vyake na Gauge yake. Other factors zinalingana na makampuni yoote.

Mfano G28 Alaf ina upana wa 122mm na ufefu wa mita tatu. Bei yake ni 52k bati moja.

Sunshare G28 upana 98mm urefu mita 3 bei yake 42.

Usipokuwa makini utaona Alaf bei kubwa hivyo ndio ubora wake. Wakati kilichoongeza bei hapa ni upana wa bati. Ikiwa utafanya calculation kama nilivyofanya mimi utakuta bei tofauti ni elfu 1 au elfu 2tu.
Ok
 
Back
Top Bottom