Nifah nimekuona uko ' online ' upesi sana tunakuomba majibu yako ya Kutukuka juu ya haya maswali

Nifah nimekuona uko ' online ' upesi sana tunakuomba majibu yako ya Kutukuka juu ya haya maswali

Gentamycine hahaaaaa

Well,nitajibu kwa kifupi tu ya kwamba nilikuwa nje ya JF kwa masuala yangu binafsi ambayo sihitaji kuyatolea maelezo.

Kweli niliwakosea na kuwasononesha wanaonipenda humu na kiukweli nilitafutwa sana hadi nikajiona mwenye hatia. Sikuwahi kujua kama Nifah ni ID kubwa kiasi gani hadi nilipoacha kuitumia JF kwa muda!
Na baada ya kugundua hilo basi kupotea kwangu humu hakutojirudia tena...

Niseme nini tena? Nashukuru kwa upendo huu na namshukuru Mungu nimerejea tena kuungana nanyi wapendwa wangu.
Cheers
Amina!!.. JF ni family huwa sipendi mtu akosekane humu.
Cheers
 
Bwahahahhahahahahha mleta mada ana gundu si bure

Karibu kilingeni msata upate kuoshwa gundu hilo mleta mada ili watu waweke comment zao hata muhusika hakuoni loooh maajabu.

Hakika gundu halijawahi kumuacha Genta salama.
kwa shemeji yetu au sio
 
Back
Top Bottom