GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #101
Gazeti refuu kujikweza kwingiii sijaona LA maana ulioandika .
Nilikukumbusha tu zile sifa ni kwa mujibu wa kwako yaani kwa mujibu wa oblangata na mtizamo wako ila sio JF public .
Mi huwa situkani watu matusi ya nguoni mi nakupa neno utatapika mwenyewe .
Any uwe na amani mzee wa gisenyi
Urakoze cyane!!
Kujikweza ndiyo Jadi yangu na sitoacha hadi naingia Kaburini. Hata hivyo usipate sana taabu kwani hasira zangu zote Kwako nitazimalizia kwa ' aliyekuleta ulimwenguni ' ambaye leo namtegemea mida ya Saa 4 usiku. Kuna Zawadi nitampa akuletee hivyo naomba umpe ushirikiano wako katika Kuipokea japo kiukweli hata Hela ya Kuinunulia ' amenihonga ' Yeye mwenyewe!