Nifah nimekuona uko ' online ' upesi sana tunakuomba majibu yako ya Kutukuka juu ya haya maswali

Nifah nimekuona uko ' online ' upesi sana tunakuomba majibu yako ya Kutukuka juu ya haya maswali

Gazeti refuu kujikweza kwingiii sijaona LA maana ulioandika .

Nilikukumbusha tu zile sifa ni kwa mujibu wa kwako yaani kwa mujibu wa oblangata na mtizamo wako ila sio JF public .

Mi huwa situkani watu matusi ya nguoni mi nakupa neno utatapika mwenyewe .

Any uwe na amani mzee wa gisenyi

Urakoze cyane!!

Kujikweza ndiyo Jadi yangu na sitoacha hadi naingia Kaburini. Hata hivyo usipate sana taabu kwani hasira zangu zote Kwako nitazimalizia kwa ' aliyekuleta ulimwenguni ' ambaye leo namtegemea mida ya Saa 4 usiku. Kuna Zawadi nitampa akuletee hivyo naomba umpe ushirikiano wako katika Kuipokea japo kiukweli hata Hela ya Kuinunulia ' amenihonga ' Yeye mwenyewe!
 
Kujikweza ndiyo Jadi yangu na sitoacha hadi naingia Kaburini. Hata hivyo usipate sana taabu kwani hasira zangu zote Kwako nitazimalizia kwa ' aliyekuleta ulimwenguni ' ambaye leo namtegemea mida ya Saa 4 usiku. Kuna Zawadi nitampa akuletee hivyo naomba umpe ushirikiano wako katika Kuipokea japo kiukweli hata Hela ya Kuinunulia ' amenihonga ' Yeye mwenyewe!
Hehehehehehehe hahahahah daaah mkuu umekumbwa na nini haya maneno ni kama ya mtu mwenyewe stress heheheheh

Haya mwambie achukue uber poa nitalipia
 
Gentamycine hahaaaaa

Well,nitajibu kwa kifupi tu ya kwamba nilikuwa nje ya JF kwa masuala yangu binafsi ambayo sihitaji kuyatolea maelezo.

Kweli niliwakosea na kuwasononesha wanaonipenda humu na kiukweli nilitafutwa sana hadi nikajiona mwenye hatia. Sikuwahi kujua kama Nifah ni ID kubwa kiasi gani hadi nilipoacha kuitumia JF kwa muda!
Na baada ya kugundua hilo basi kupotea kwangu humu hakutojirudia tena...

Niseme nini tena? Nashukuru kwa upendo huu na namshukuru Mungu nimerejea tena kuungana nanyi wapendwa wangu.
Cheers
Ila tuache mzaha nifah, kaka zako tunakupenda sana sanaaaa. Ulivyoondoka binafsi niliumia sana kwasababu wewe ni moja ya watu wangu muhimu sana humu ndani. Tafadhali usitukimbie tena....
 
Ila tuache mzaha nifah, kaka zako tunakupenda sana sanaaaa. Ulivyoondoka binafsi niliumia sana kwasababu wewe ni moja ya watu wangu muhimu sana humu ndani. Tafadhali usitukimbie tena....

Hakika mimi Nifah nimebarikiwa,mnanipenda hadi najionea wivu mwenyewe.
Sitoondoka tena Bruh, I promise [emoji1488]
 
Kama kuna Wadada ambao naheshimiana nao humu JF na nawakubali hasa kwa michango yao halafu hata sijawahi na sitokuja kuwahi Kuwatongoza hata siku moja ni hawa wafuatao:
  1. Nifah
  2. Sky Eclat
  3. Shunie
  4. Evelyn Salt
  5. miss chagga
  6. cocochanel
  7. Miss Natafuta
  8. Mama Sabrina
Na siyo kwamba Wanawake wengine wote wa JF labda siwapendi au siwakubali ila hata Kocha wa Timu huwa na ' First Eleven ' yake na ambayo lazima iheshimiwe. Na kuhusu kumtaka Mwanamke nisikufiche natamani sana siku moja tu unikutanishe na ' Mamaako ' ili niweze kuomba ' usajili ' wa muda Kwake wa Kibaiolojia.

Sijaanza leo humu kuwaanzishia Watu ' Uzi ' hasa akina Dada na nakumbuka hata Shunie nilishawahi kumuanzishia humu ' Uzi ' na mpo ' Mapopoma / Wapumbavu ' mlisema kuwa namtaka au amenikatalia na bahati nzuri Shunie mwenyewe tunae hapa hivyo naomba kama Mimi GENTAMYCINE nilishawahi Kumtongoza naomba aseme hapa hapa hadharani na kama ana ushahidi wowote ule auweke ili niumbuke Kwenu.

Usipomzoea GENTAMYCINE utapata taabu sana na Mimi kwani ' haiba ' yangu ya Kiasili ni mpenda Utani na Kuchangamshana popote pale ninapokuwepo na ndiyo maana hata huku Uraiani katika maeneo kadha wa kadha nikikosekana tu Wazee na Vijana huwa wanaumia na ' wananimisi ' vibaya mno.

Hao Watajwa wangu Saba ( 7 ) hapo juu licha ya kuwafanya ni Dada na Marafiki zangu wakubwa na wapendwa kabisa hapa JamiiForums lakini pia nimewafanya kama ni ' Watani ' zangu wakubwa na kama kuna akina Dada ambao itatokea nikakengeuka / nikakosea humu kwa lolote lile halafu wakanisema au kunionya au kunishauri basi hao Saba ( 7 ) hapo juu wakifanya hivyo nitawaheshimu na kuwasikiliza Kunakotukuka.

Kesho pia au hata wiki ijayo nitaanzisha ' Uzi ' wa ' Kumchokoza ' Dada yangu Miss Chagga ambaye nae amepotea humu kama ambavyo alipotea Dada yangu Nifah hivyo nakuomba tu usichoke tena kuja na hii hii Kauli yako kuwa na Yeye pia ninamtaka Kimapenzi. Sipo JF kutafuta Mwanamke au Mpenzi bali nipo nanyi tu humu katika kuwasilisha mawazo na mitazamo yangu ' Kuntu ' juu ya ' mada ' ambazo huwa zipo au zinaletwa.

Nimemaliza.
Genta yaan mimi wa mwisho nitakupa tabu sanaa naomba shunie awe wa mwisho au huyo coco [emoji57][emoji57][emoji57]
 
Genta yaan mimi wa mwisho nitakupa tabu sanaa naomba shunie awe wa mwisho au huyo coco [emoji57][emoji57][emoji57]

Mamie kumbe una Wivu hivi Kwangu? Wewe nikiwa nawe Kimahusiano kwa mfano siku unikute na Mwanamke tumesimama tu si utaniwahisha Mbinguni Kuume kwa Mungu Baba kwa msaada na ushirikiano wa Kutukuka wa Israeli? Punguza Wivu Mamie na Wewe ndiyo kila Kitu Kwangu hawa akina Shunie nawazuga tu!
 
yaani hatuonani kabisa aisee tatizo nini

tatizo limekwisha sasa dada tupo pamoja sana si unajua hapo katikati tulivyopata misukosuko humu ndani?? ahsante kwa uongozi wa JAMII FORUM umeturejesha pamoja
 
tatizo limekwisha sasa dada tupo pamoja sana si unajua hapo katikati tulivyopata misukosuko humu ndani?? ahsante kwa uongozi wa JAMII FORUM umeturejesha pamoja
yaani acha tu mdogo wangu hatimae tumekutana leo
 
Mamie kumbe una Wivu hivi Kwangu? Wewe nikiwa nawe Kimahusiano kwa mfano siku unikute na Mwanamke tumesimama tu si utaniwahisha Mbinguni Kuume kwa Mungu Baba kwa msaada na ushirikiano wa Kutukuka wa Israeli? Punguza Wivu Mamie na Wewe ndiyo kila Kitu Kwangu hawa akina Shunie nawazuga tu!
Ntakutoa roho kabisa ,,au ndio wa mwisho atakuwa wa kwanza ngoja nijifariji
 
Mamie kumbe una Wivu hivi Kwangu? Wewe nikiwa nawe Kimahusiano kwa mfano siku unikute na Mwanamke tumesimama tu si utaniwahisha Mbinguni Kuume kwa Mungu Baba kwa msaada na ushirikiano wa Kutukuka wa Israeli? Punguza Wivu Mamie na Wewe ndiyo kila Kitu Kwangu hawa akina Shunie nawazuga tu!
Eeenh sema kweli Genta kwahiyo mm unanizuga eenh
 
Back
Top Bottom