Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Wa kwake huo sio unoko maana hajasema sababu.
Bila shaka tatizo lipo kwake.
 
Aloo, nimesahau jina lako moja ila la pili ni Kimaro na umeshawahi nitumia hela Kwa maelekezo ya the Bold. He is a good man. Mengine tuyaache kama yalivyo. Kutofautina ni jambo la kawaida
 
ukisikia kenge anapiga kelele jua amefinywa sawasawa. Mwamba ukute hata alishamsahau dada yetu ila dada yetu bado anamkumbuka tangu August huko, hapo ndio utajua aliyeachwa ni nani
Ila watu bhana...

Nifah ameamua kuandika sababu yeye ndiyo yupo active JF kwa sasa kuliko jamaa...na amekuwa akiulizwa maswali mengi kuhusiana na mahusiano yake na The Bold.. Na aliahidi ataleta uzi kabla ya mwaka kuisha au mwanzo wa mwaka( 2024) ataeleza kila kitu....

Sasa kosa lake hapo ni nini?

Wanaume acheni kujihesabia haki kwenye Mahusiano....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ