Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Aiseee nime cheka kibwege, ila adriz ๐๐คฃ๐คฃMimi Raia mwema napambana sana jamaa Maghayo aache bange yeye pamoja na genge lake kwani madhara yake ni makubwa kwa members humu.
Cheki mfano hapo chini Ghayo's gang wakiingia Jf baada ya kushambulia vipisi vya bange , Bora hata dronedrake Bakari Nondo yake haikeri members humu.View attachment 2858733
Ongeza na vitumbua ๐๐คฃ๐ค๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃZa kuambiwa Mr deli
Hamna walichonifanya ila naona tu wanavyoponda wanawake halafu ndio ujiroge ukutane nao uende viral kabisa utengeneze husiano uwiiii Mbona utakimbia jf๐๐๐๐Wamekufanyaje jamani ๐๐
Ni ๐ฎHamna walichonifanya ila naona tu wanavyoponda wanawake halafu ndio ujiroge ukutane nao uende viral kabisa utengeneze husiano uwiiii Mbona utakimbia jf๐๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ mhhhMara paap tumemzimia demu 1 nitacheka sanaaa aiseee qmmmke [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisoma comments humu ni kama vile watu wamefurahia hao wawili kuachana.
Hii itapelekea wengine kuogopa kuweka wazi mahusiano yao humu.
Na mnafanya na sisi Wazee wenu tuogope kuwatambulisha Bibi zenu kwa kuogopa mtatuchawia tuje kuachana Uzeeni ๐๐
Hahahah ๐๐๐๐We dada usihalibu uzi ukafutwa mbona unajistukia kila uzi๐
Huu uzi ni wa Nifar
๐๐๐Hii style ya Nifah inaitwa Chomoa Kimbia.
Kaleta taarifa waja wabaki kupayuka. Hakuna kujibu chochote.
Watasema wee, mwisho waanze kuparuana wenyewe.
Bladfakeni.
Bwana ake alitembea na rafiki yake asha tena yule shosti yake haswaaa alafu uyo bi shosti ni pisi kuliko uyo asha_dii,Asha Dii amefanyaje?
Umefanya vizuri sana kuweka wazi, watu tunakuzimia tunaogopa kuingilia
Maana yake jimbo liko wazi, Haya ngoja tuwashe chopa zetu tuje kupiga kampeni huko uchaguzi mdogo!!
Kwahiyo jimbo liko wazi na Halina mgogoro ?
Aisee jimbo liko wazi kwa mara nyingine tena!
NINA MPENZI!
Ahahahh ๐๐๐๐คญ๐๐๐
Victimโs syndrome
Bora tubaki kwenye comment tu๐๐๐Ni ๐ฎ
Usahihi ni kuanza kujitanguliza wewe kisha wengine, nionavyo mimi.Hivi Kiswahili sahihi ni ipi? Kutanguliza kujitaja wewe kisha mwenzako ama kumtaja mwenzako kisha wewe?
Anyway, ni jambo jema. Kila la kheri katika mahusiano mengine mapya. Mungu akusimamie.
Kila topic kufosi kuji update ๐ฎKila mada unafit kadadaa?
Embu huko, chaaaa๐ฎ
Tarahe 01.01.2024 namtaja[emoji23][emoji1787][emoji1787] wewe unaogopa kumtaja Binti unayemzimia[emoji23]