Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Hamuezi jua mwenzenu, alikuwa bingwa wa somo la Historia😀🤒
Angekuwa bingwa kichwa yake ingekuwa inachaji 🚮
History sio vishazi wala kukariri formula za physics

Kila siku maushuzi tu yasiokwisha kunuka inahuu?

Ifike muda akafie mbele na penzi lake. Smart this Smart that.. kwa kipi?
Kitu gani asichoridhika nacho akaendelea mbele na maisha yake? Hakazwi?? Ama alisikia Smart nje kahonga nn ndo bado anakisumbukia? Uchungu gani usiomuisha siku zote hizo toka amepumzishwa mpaka sahiv anapashwa?

Toka mwaka jana mambo ni kurise na kufall 😂😂 jamani!! Em basi atumie free time zake kujifunza namna ya kucreate content mpya, mwakani hatutaki ma ujinga yake ya kufosi kufit kila topic.

Woiyee
Happy new year pals.
Sorryn bana. Dah 🤣😂😂
 
Ni tofauti, nina wakati mzuri ndio maana naandika vyema.

Mtu mwenye stress ataweza kuwaletea mathread yaliyoshiba vile? 🤣🤣🤣
Unajipa moyo hapa halafu huko unalia usiku kucha. Hebu angalia postings zangu zote ukimaliza uje tuyajenge.

Masharti yangu: hakuna umbea, hakuna publicity, hakuna kujiamulia mambo yako. Nataka nikunyooshe😂
 
Inafu is inafu.
 

Eti ku rise na kufall😀😀😂, dah ko hiyo ni empire ipi😀😂🤒
 
Huyu ndio yule ulimcheat akakusamehe?
 
Umesamaraiz vizuri [emoji23][emoji23]

Happy New Year
 
Moyoni mwangu kuna mtu tayari, jamaa yetu wa 40 nilimpa ushauri jana na Mungu atampa hitaji lake.
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…