Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Jf wanajua kujipa kazi ya kuweka rekodi sawa.
Kila neno lako jf linahesabiwa na kuwekwa kwenya rekodi kwa matumizi ya wakati ujao😂
Ni kweli
WanaJF watu wa record
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf wanajua kujipa kazi ya kuweka rekodi sawa.
Kila neno lako jf linahesabiwa na kuwekwa kwenya rekodi kwa matumizi ya wakati ujao😂
😂😂😂 watu wa Jf ni kibokoHaha naona umeiogopa kama ukoma
Kwa ajili hii Mwenyezi Mungu atimize haja ya moyo wako upande wa mahusiano iende mpaka kwenye ndoa.Siko hivyo, nikiachana na mtu tumeachana.
Sijawahi na sitokaa kupasha kiporo na ex, najiheshimu na kumheshimu ninayekuwa naye katika mahusiano.
Ila Nifah.....View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiyo na mimi nimejiuliza...Sasa kwenye uzi huu smart kaingiaje si anataka kuleta mada juu ya mada ili uzi wa mwenzie upewe ban[emoji2955]
Na wewe unapenda umbea?Huu uzi umefikaje page ya 26 ghafla hivi?
Sema ukweli, alikuvumilia sana, kijana wa watu. Una lipi la kueleza kwa singp maza wakipata kijana ambaye hana mtoto kama jamaaView attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Uzi ni wa Moto, kama series ya jumong😂😀Huu uzi umefikaje page ya 26 ghafla hivi?
Nyeusi kama nyeusi asitumie nguvu nyingi iwe nyeupe 😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiyo na mimi nimejiuliza...
Attention Seeker...