Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mtu ukifanikiwa kuacha jf shukuru, huu sio mtandao mzuriBhana....
Kuna vitu ukivisoma wakati mwingine hadi unaboreka...
Maana miaka nenda rudi ni yale yale tu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ukifanikiwa kuacha jf shukuru, huu sio mtandao mzuriBhana....
Kuna vitu ukivisoma wakati mwingine hadi unaboreka...
Maana miaka nenda rudi ni yale yale tu....
Angekuwa bingwa kichwa yake ingekuwa inachaji 🚮Hamuezi jua mwenzenu, alikuwa bingwa wa somo la Historia😀🤒
Kaka taratibu Sasa😀😀🤒Mtu ukifanikiwa kuacha jf shukuru, huu sio mtandao mzuri
Kuna umbea unataka kunipa? Hebu nipe ili nione kama nitapenda, sina uzoefu kwenye hiyo sekta.Na wewe unapenda umbea?
Unajipa moyo hapa halafu huko unalia usiku kucha. Hebu angalia postings zangu zote ukimaliza uje tuyajenge.Ni tofauti, nina wakati mzuri ndio maana naandika vyema.
Mtu mwenye stress ataweza kuwaletea mathread yaliyoshiba vile? 🤣🤣🤣
Mac umekuwaje siku hizi mkuu😂Kuna umbea unataka kunipa? Hebu nipe ili nione kama nitapenda, sina uzoefu kwenye hiyo sekta.
So Asha akaandika tweeter kulalamika?Bwana ake alitembea na rafiki yake asha tena yule shosti yake haswaaa alafu uyo bi shosti ni pisi kuliko uyo asha_dii,
ya kwenda na ina kibunda pambeeee hyo manzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipata F ya kiswahili, nikipuyanga univumilie.Wewe Mswahili, na kukijua kwako kote kiswahili umeshindwa kupata busara ya kutokujua ya kesho?
Inafu is inafu.Angekuwa bingwa kichwa yake ingekuwa inachaji 🚮
History sio vishazi wala kukariri formula za physics
Kila siku maushuzi tu yasiokwisha kunuka inahuu?
Ifike muda akafie mbele na penzi lake. Smart this Smart that.. kwa kipi?
Kitu gani asichoridhika nacho akaendelea mbele na maisha yake? Hakazwi?? Ama alisikia Smart nje kahonga nn ndo bado anakisumbukia? Uchungu gani usiomuisha siku zote hizo toka amepumzishwa mpaka sahiv anapashwa?
Toka mwaka jana mambo ni kurise na kufall 😂😂 jamani!! Em basi atumie free time zake kujifunza namna ya kucreate content mpya, mwakani hatutaki ma ujinga yake ya kufosi kufit kila topic.
Woiyee
Happy new year pals.
Sorryn bana. Dah 🤣😂😂
?
Toka mwaka jana mambo ni kurise na kufall 😂😂 jamani!! Em basi atumie free time zake kujifunza namna ya kucreate content mpya, mwakani hatutaki ma ujinga yake ya kufosi kufit kila topic.
Woiyee
Happy new year pals.
Sorryn bana. Dah 🤣😂😂
Huyu ndio yule ulimcheat akakusamehe?View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
We mwaka mpya wote huu nani anakula vitumbua?nakunywa zangu mojito hapa na sausage za kuchoma niache😜😜Mimi yapo kidogo mno😂😀, sema nikupe vitumbua USI yaone😂🏃🏃
Umesamaraiz vizuri [emoji23][emoji23]Angekuwa bingwa kichwa yake ingekuwa inachaji [emoji706]
History sio vishazi wala kukariri formula za physics
Kila siku maushuzi tu yasiokwisha kunuka inahuu?
Ifike muda akafie mbele na penzi lake. Smart this Smart that.. kwa kipi?
Kitu gani asichoridhika nacho akaendelea mbele na maisha yake? Hakazwi?? Ama alisikia Smart nje kahonga nn ndo bado anakisumbukia? Uchungu gani usiomuisha siku zote hizo toka amepumzishwa mpaka sahiv anapashwa?
Toka mwaka jana mambo ni kurise na kufall [emoji23][emoji23] jamani!! Em basi atumie free time zake kujifunza namna ya kucreate content mpya, mwakani hatutaki ma ujinga yake ya kufosi kufit kila topic.
Woiyee
Happy new year pals.
Sorryn bana. Dah [emoji1787][emoji23][emoji23]
Wacha dawa ituingie mamaYaaaani....Pyuuuuu!!!
Ilimradi tu na hapa kutaka kuzungumziwa..
Uzi wa Nifah na Mahusiano yake... Kutaka kuleta mambo yale yale kila Uzi.. hakuna jipya[emoji706]
Moyoni mwangu kuna mtu tayari, jamaa yetu wa 40 nilimpa ushauri jana na Mungu atampa hitaji lake.Ni vema na mtalakishwa naye akaleta uthibitisho hapa juu ya ukubali wake kwenye uamzi wenu ili yule jamaa wa 40yrs aliyejipambanua hapa kuwa sasa ameamua kuwa mwaka kesho ataoa basi awe huru kuwasilisha fomu za maombi ya nafasi ya kuishi moyoni mwako bila wasiwasi.