Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah na watakoma aisee, HILi party lime lipuka hatari😂😀🤒Empire isiyokuwa na Kingdom 🤣
Kwahiyo jimbo lipo wazi ?.View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Duh!!umekunywa Nini kikali wewe?Nifah Kuna akina sie mama mb.oo isinipite namie nionjee alichopewa Nifa Vipi tunaruhusiwa kujaribu bahati yetu kwa bro????
Vipi kwanza anaingilika?????🤔🤔
Kidding..
Kwahii akili Much congrats
Dah penseli nini 🤣, tulia dogo letu🤒alipewaga gono huyo sitaki mambo yakwanza kuugua mimi
😂 mwenzangu, sitaki ifike huko.. huku tunakuja kuburudika, ila tu marufuku kupandana vichwaniKwakweli.. Isije tukaona not open for futher replies😃😃
Si bure ana kichaaSasa hivi anaona kila mtu anamuibia [emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana kila uzi [emoji23][emoji23]
Bado hujatubualipewaga gono huyo sitaki mambo yakwanza kuugua mimi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Vayolensi mode
Ni mwendo wa mabaruti, fireworks tuwaachie wazungu[emoji38]
👉Hi Ina itwa scramble and partition of ubuyu😀😂😂🤒😂 mwenzangu, sitaki ifike huko.. huku tunakuja kuburudika, ila tu marufuku kupandana vichwani
Kwani Mwaka Ume fanyaje 😀🤒Uz huu sijui kama utauona mwaka
Kwakweli hao wa kupandana kichwani ni kuwafungia tu mwaka hakuna namna😂😂🤒😂 mwenzangu, sitaki ifike huko.. huku tunakuja kuburudika, ila tu marufuku kupandana vichwani
Sasa si ukae kandosikutaki nifah ananitosha
Unapinduka saa 6 na hii ndio kwanza saa Tatu 😂Kwani Mwaka Ume fanyaje 😀🤒