Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Bwana eeeh? 🤣🤣🤣
Uzuri muda umepita niko sawa hivyo nawamudu.
Binadamu wana mengi, huwezi kuwazuia kusema.
 
I’m a very fair person na muwazi, Asante.
 
Oya adriz ile joseon gun man ni 🔥🔥, eti ana piga chuma kwa hasira😂🤣
 
Kwamba "Yowe halichagui umri" [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Break up: mwezi August.

Press release: kuelekea sikukuu ya mwaka mpya (January) 😄

Mleta mada hebu subiri kwanza January iishe afu ndipo utukumbushe hii 'public notice' yako. Kwasasa tunaipuuza kwanza. 😎

-Kaveli-
Ungeipuuza usingechangia 🤣🤣🤣

Ushauri nakupa, ukitokea kuachana na mwenzi wako jipe muda kabla ya kusema. Hakikisha umekaa sawa na kusahau.

Hii inakupa uhakika wa unachokifanya kuwa ni sahihi, na pia unakuwa na uwezo wa kulimudu kwa hekima.

Si unaona mimi? Sina makasiriko.
 
Sasa nafasi ipo wazi, ngoja tuanze kutuma application mapema 2024 ni mwaka wa kuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…