MahondawHivi na wale CC wapo wapo au ndo mtaachana tu😄😄.mdomo komaa.
Ujue mwanaume kusutwa haipendezi🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Sio kirahisi kama wewe unavyodhania,kuliwa ni tabia za watu pmj na interest zao, kama kuliwa ni rahisi rahisi basi duuuh...Utaliwa bila kutarajia shauriyako,
Badala niongeze madeli, we una niambia boda😃😂🤣.Mwaka ujao uji upgrade,ununue hata boda y kubebea Hilo deli lako😇
Sasa madeli yakiwa mawili utayabebaje?Badala niongeze madeli, we una niambia boda😃😂🤣.
👉Hiyo ni liability 🤣😂😂
Pole mamaBwana eeeh? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzuri muda umepita niko sawa hivyo nawamudu.
Binadamu wana mengi, huwezi kuwazuia kusema.
Naongeza vijana😂🤣🤣, full madeli mtaani😂🤒Sasa madeli yakiwa mawili utayabebaje?
Asante my wangu 😘😘Ila watu bhana...
Nifah ameamua kuandika sababu yeye ndiyo yupo active JF kwa sasa kuliko jamaa...na amekuwa akiulizwa maswali mengi kuhusiana na mahusiano yake na The Bold.. Na aliahidi ataleta uzi kabla ya mwaka kuisha au mwanzo wa mwaka( 2024) ataeleza kila kitu....
Sasa kosa lake hapo ni nini?
Wanaume acheni kujihesabia haki kwenye Mahusiano....
Tutakuchoka na madeli yako!Naongeza vijana😂🤣🤣, full madeli mtaani😂🤒
Eeeh ila kabadili IDHakuna aliyepotea, wote wapo active
Soon, Naya sajili brela😂🤣🤣🤒Tutakuchoka na madeli yako!
🤣🤣🤣🤣Kwani tayari Yana TIN na leseni?Soon, Naya sajili brela😂🤣🤣🤒
Niko kwenye miezi 6 ya majaribio🤣😂, so no paying Kodi🏃🏃🤣🤣🤣🤣Kwani tayari Yana TIN na leseni?