Hapo mtu anaweka kambi na kutulizana, muhimu tu awe mzee mwenzetu, ukijiachia na vijana utaumia..hakika utaumia😀🤣🤣🤣🤣Dah na uzee huu unataka nipate kisukari nikiachwa ?si eti eeeh ndio mpango wako?
Pembeni wanakucheka na kuhadithiana mambo yako huku wakigonga glass 🥂alawys wabongo wanapendaga watu wafikwe na mabaya tu ndo furaha yao japo utapewa pole ya kinafki.
Nilileta nikatulia 2Hrs upepo utulie, baada ya hapo najibu page 10 napumzika 🤣🤣🤣Hii style ya Nifah inaitwa Chomoa Kimbia.
Kaleta taarifa waja wabaki kupayuka. Hakuna kujibu chochote.
Watasema wee, mwisho waanze kuparuana wenyewe.
Bladfakeni.
Babu darling heri ya mwaka mpya to you!Wanafanya tunapita na ku-like kimya kimya ili wasituibie 😜🙌🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Happy New Year 🕛Sio kirahisi kama wewe unavyodhania,kuliwa ni tabia za watu pmj na interest zao, kama kuliwa ni rahisi rahisi basi duuuh...
Kazi ipoo nafanya matendo yanayoendana na jinsia yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa humu mna macho juu juu sana,hamtulii🤣🤣🤣🤣Hapo mtu anaweka kambi na kutulizana, muhimu tu awe mzee mwenzetu, ukijiachia na vijana utaumia..hakika utaumia😀
View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Halafu ss sikujua km kanieoewa au vipi nikawa naogopa, akinipa huyu nitaumia sbb nampenda!Kwamba wewe hujawahi kupata bebe humu, watu mpo vizuri underground 😀😀😀
Mbona hamna shida? Mpaka naleta hii maana yake najua ninachokifanya.Nifah umeamua kutulisha matango pori dahh!
Mi siamini kabisa ila umefanya vema kwa tulicho expect naona utakua freee walai sio kwa mawe hayaa ni hukuu paaaahh kulee paahhhh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ubarikiwe uwe na mwaka wa mafanikio!Yes, amani tele ✌🏽
Nimekumisi hadi nakaribia kukufa 😜Babu darling heri ya mwaka mpya to you!
Ngoja nikupigieKuhusu nini?
Nani huyo kapoteza shilling?Humu niliemuelewa kaka mmoja tu,na nilionana nae kabisa,na anajua km niliemuelewa!
Kitambo kidogo hapo!
Unfortunately ht sikumfaidi those days, nilikuwa muoga muoga najutaaa🤣
Ndo maana nawashangaaga wanao fikiria sijui kaliwa na fulani sijui nn,nachekaaa,hawajui!
Joannah
YesNgoja nikupigie
No si Ile Ile?
Weee sauwaaassauwaa!! Japo moyo umegoma kuamini ila Big upMbona hamna shida? Mpaka naleta hii maana yake najua ninachokifanya.