Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana


Pole Nifah kwa changamoto

Hongera sana kwa kufanya maamuzi magumu.

"Kuvunjika kwa koleo, sio mwisho wa uhunzi". ZINGATIA.
 
Kwamba wewe hujawahi kupata bebe humu, watu mpo vizuri underground 😀😀😀
Halafu ss sikujua km kanieoewa au vipi nikawa naogopa, akinipa huyu nitaumia sbb nampenda!

Nikaamua nisimpe,Bora niumie sijampa kuliko niumie Kwa vyote ,kumpa na kuachwa🤣🤣🤣

Halafu Sina hakika km kaoa maana sioni ht dalili labda km kaamua kutoweka mambo yake kwenye Mitandao, ngoja nimcheki🏃🏃🏃🏃😂😂
Nikiweka 🆔 yake hapa utashangaa sn,sahivi hayupo active sn km zamani ila yupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…