Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Mahusiano yakivunjika yanaumiza, hata useme siumii kiukweli ni kuwa wahusika wanaumia.Mume na mke wenye watoto huachana na maisha yanaendelea.
Hiyo Galaxy ya mapenzi ukiishi salama mshukuru sana Mungu, binafsi ni muathirika wa hilo ila nataka ujue kuna maisha nje ya hiyo galaxy. Karibu ukaperani, hii timu inasajili kila uchao. Pole
 
Oh, thank you.
Happy New Year
 
Mtoto je?
Kwa maoni yangu usingelisema ungeacha tuu yapite! Watu wa hapa watakukosesha amani sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…