Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Emu sema wewe mrembo.. kila kona unafosi kupita na vitu vya enzi ya Nyerere kweli?
Kwamba tofauti na hayo we huna content nyingine?
Ahaa hapana bhana 🚮
Haipendezi mtu kuwa mzembe hivyo.
Depal bana , eti unaiwasha daladala then you unaicha iungurume watu wagombanie kuingia kwa vikumbo vya umbea 😂
 
😁😁😁😁unaonekana msosi unakuzuzua sana?huwazi maendeleo zaidi yakula?unanyumba nzuri nagari unayo?kampuni unazo?achakuwaza kula bwege wewe njoo nikuajiri
Unadhani Kuna anayekula anachotaka Hana umiliki wa hivyo vitu pimbi wewe!!pambana kuswali Mungu akukumbuke sio unatuletea njaa zako humu
 
Acha umalaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…