cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23] em kwendraah huko,We maji matupu kweli[emoji3][emoji3], sema uta change tu [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] em kwendraah huko,We maji matupu kweli[emoji3][emoji3], sema uta change tu [emoji23][emoji23]
Mume au mke unampata kwenye mtandao?, hii ovyo kabisaShukrani Mkuu
Nimejifunza, kuanzia sasa mkiona nawatangazia hapa mjue ni wachumba rasmi na pengine ndoa.
Heri ya mwaka mpya.
Nawe pia[emoji120]Heri ya mwaka mpya guys
Asante SanaNawe pia[emoji120]
Kama ni muslim, fata tamaduni za uislam, usifate tamanio za duniaAmeen Yaraby [emoji1431][emoji1431]
Depal bana , eti unaiwasha daladala then you unaicha iungurume watu wagombanie kuingia kwa vikumbo vya umbea 😂Emu sema wewe mrembo.. kila kona unafosi kupita na vitu vya enzi ya Nyerere kweli?
Kwamba tofauti na hayo we huna content nyingine?
Ahaa hapana bhana 🚮
Haipendezi mtu kuwa mzembe hivyo.
Usipotangaza mahusiano yako watu watajua jimbo lipo wazi kifuatacho.....Hata kidogo, nimejifunza mwishoni ila nimejifunza.
Tutangaze uchumba au ndoa na sio mahusiano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]The Bold asingemuweza mwanamke mbea
Heee usinismbie umekasirika???acha ujinga wewe bwana.....hakuna asiyejua huu ni utani....Pole anyway uanze mwaka na amani mremboKheee shogaangu usijenizulia ya kuzua
Halafu mimi sio ka girl
Hakuna kinachoendelea kati yetu mambo ya jf usiyachukulie serious sana
I noticed sth serious concerning your mental health..Wakati ukifika nitawatambulisha shemeji yenu mpya, asante.
Dah Sina namna naweza kukusaidia kama Hadi 2024 umeamka minyoo imekuchachamaa,nikijua huu mwaka utakuwa nafuu kwako... anyways njaa na makasiriko ndio fungu lakojituzima linachambwa kwaumbea,🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Sasa Mimi ninakula ninachotaka,wewe unabwabwaja na njaa unadhani nani ataanza kuchoka?mwaka huu nikonawewe hadimaji uite mma
Unadhani Kuna anayekula anachotaka Hana umiliki wa hivyo vitu pimbi wewe!!pambana kuswali Mungu akukumbuke sio unatuletea njaa zako humu😁😁😁😁unaonekana msosi unakuzuzua sana?huwazi maendeleo zaidi yakula?unanyumba nzuri nagari unayo?kampuni unazo?achakuwaza kula bwege wewe njoo nikuajiri
Acha umalayaView attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Endelea kujidanganya badala ukazane na swala ukumbukwe upate riziki uko busy kujidanganya nafsi yako,kujiajiri umeshindwa kuajiri Mtu utaweza?kuwampole bibie andika vizuri.njoo nikuajiri
Okay! muhalalishe sasa ili mtengeneze kizazi kizuri.Sikujibu kimafumbo, na mbona nilikuwa nakupa story za shemejio mpya hadi akitoka out?
Nini tena mtumishi 😅Kuna mahali nilimsoma akisema bila hiyo shughuli sio kitu kwake🤣 Tayana-wog au uongo?