Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Nilivyokuwa nampenda The Bold aisee, na hata yeye anajua. Sema sa hivi kesha zeeka!

Sifa ya mwanamke ni Moja tu mtii na kumuheshimu mwanaume! Niffer ukajikuta unampenda, pole sana kwa kuumizwa shwaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23]

Mbwa hazeeki maini mkuu
 
Mleta masa ni single mama? Kama ndivyo basi jasusi baada ya kusoma kwa muda mrefu amefikia maamuzi makini. Alichofanya aliamua kukaa kimya ndo uanaume ili mleta mada (ke) ajiongeze na amejiongeza kweli.

Naamini mzigo alishakula hivyo hana cha mno alichopoteza
 
Kweli nimeamini Mkwe wangu umempenda kikweli kweli

Nakumbuka wakati namwoa Bibi yenu mwaka 1976 nilimwambia sina hela ya kulipia mahari babe wako japo nakupenda

Akaniuliza kwani una shilingi ngapi...nikamwambia nina shilingi 50 tu

Basi akaenda kwao akawaambia Wazee wake wanitajie mahari ya shilingi 65

Hizo shilingi 15 za ziada nimekuja kuzilipa mwaka 1982 🤗
Amini Babu, nampenda kiukweli kabisa.

Kweli wewe Babu yangu, mama yangu alizaliwa around hiyo miaka wakati wewe unaoa.

Ndio mimi na mkweo husema, vigezo pekee vya kupelekea kuoana ni kupendana kwa dhati nyote wawili, basi.
Si unaona nyie mmedumu? Nasi tutafuata nyayo zenu.
 
Back
Top Bottom