Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio la pipi kifuaHuwezi kuwa mgeni bwana, hili jambo si unalizungumziq kila mara Tayana😀😀
Nipo, ingawa Kwa nadra.Thank you
Happy new year
Jamni huonekani
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilivyokuwa nampenda The Bold aisee, na hata yeye anajua. Sema sa hivi kesha zeeka!
Sifa ya mwanamke ni Moja tu mtii na kumuheshimu mwanaume! Niffer ukajikuta unampenda, pole sana kwa kuumizwa shwaaaah
Sijawahi kuwa na dhiki ya uchi kihivyo bro.[emoji28][emoji28]sasa watu wasipige kisa nini ? zama PM uka jipigie
HahahaDahhhh....
Ukweli nimesikitika sana, maana mimi ni kati ya wachache waliokua wanatamani kuona mahusiano yenu yakidumu na kufika mbali zaidi.
Amini Babu, nampenda kiukweli kabisa.Kweli nimeamini Mkwe wangu umempenda kikweli kweli
Nakumbuka wakati namwoa Bibi yenu mwaka 1976 nilimwambia sina hela ya kulipia mahari babe wako japo nakupenda
Akaniuliza kwani una shilingi ngapi...nikamwambia nina shilingi 50 tu
Basi akaenda kwao akawaambia Wazee wake wanitajie mahari ya shilingi 65
Hizo shilingi 15 za ziada nimekuja kuzilipa mwaka 1982 🤗
Trust meHahaha
Waachane mara ngapi [emoji3][emoji3]Hivi na wale CC wapo wapo au ndo mtaachana tu[emoji1][emoji1].mdomo komaa.
Ujue mwanaume kusutwa haipendezi[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Weh, yule nitaweza hata kuandika tukiachana? Mtakuwa mmeshanizika!
Kuna uzi kule wa Loading failed anasema wanawake wa humu ni vicheche labda alikuwa anamsema NifahNifah sini juzi tu hapa nimekusoma mahali ukisema mapenzi na baby wako uliyerudiana nae yamekolea ama??🥴
Au ndio kusema ulikua unaongelea mapya ambayo hutoyaweka wazi....??😯🤓