Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Wee sema kweli 😃binti akiachwa anaumia sna sijui kwa nini
nafikiri wanajigungua kua wao ndio chanzo kama sikosei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee sema kweli 😃binti akiachwa anaumia sna sijui kwa nini
nafikiri wanajigungua kua wao ndio chanzo kama sikosei
haina shida binti yanguNilimaanisha kuwa wapenz Kuna uchumba Yani mshatoleana mahari pia Kuna ndoa
Wewe acha ujuaji weweMbona wengine tulistuka zamani ni ID mbili klakini mtu mmoja tu.
Ni vyema mapenzi feki umeuwa ki feki feki.
Mmoja i guess....a boyMlijaliwa kupata watoto wangapi?
hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mbona kiroho mbaya sana 🤣🤣Kiko wapi sasa
Mbona kama umefurahishwa na hii taarifa?Kiko wapi sasa
Samia nyamaza.Mbona wengine tulistuka zamani ni ID mbili klakini mtu mmoja tu.
Ni vyema mapenzi feki umeuwa ki feki feki.
naona mara nyingi mabinti ndio uhahaWee sema kweli 😃
Em ngoja tuone kwanzanaona mara nyingi mabinti ndio uhaha
Nahisi ndivo walivyo umbwabinti akiachwa anaumia sana sijui kwa nini
nafikiri wanajigungua kua wao ndio chanzo kama sikosei
mzee wa azaBoyNahisi ndivo walivyo umbwa
Una umbea umbea kidogo🤣🤣🤣🤣😂😂😂 mtoa ushauri mbona kama umeshachelewa ðŸ¤
Unakumbuka tuumzee wa azaBoy
Oh! Good news.View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah