Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
🙄🙄🙄🙄🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️Nitakufukuza huku sasa hivi...
Achana na hayo mambo sweetheart...
Let's wait for new year celebration...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄🙄🙄🙄🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️Nitakufukuza huku sasa hivi...
Achana na hayo mambo sweetheart...
Let's wait for new year celebration...
Kwamba ni mzuri ndyo maana kachaguliwaSi ili aonekane kama ameonekana😃😃, kwamba na yeye ni one out of millions of Jf ladies 😂😂😂😂🤣🤣
We dada usihalibu uzi ukafutwa mbona unajistukia kila uzi🐒Watu hawaongelei mambo za ukweli waliyoyaficha wanatungatunga tu uongo ili Tonniah aonekane ana shobo kwa smart humu Kwani wote ni wageni bwahahahahahahahahah!!
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
Smart911 wee dume la mbegu bana🙇🙇🙇🙇🙇🤣
Mimi pia kipenzi.Jamani nimekumiss ujue
aah sina nidhamu hiyo ya uogo,sikimbii mtuNdo inavyokuaga.. Aibu sasa afanyaje, hana namna
Ewaaaa umeona sasa jf men walivyoYa Jf ni balaa unakuta umeshushiwa uzi hapa na new id Kumbe ni babe wako huyo anakuponda 😂🚮
Na wana mitego sio siri 😃,, ukishangaa shangaa tu kidogo ushanasaKwamba ni mzuri ndyo maana kachaguliwa
Onhooo wanaume Wana mbinu nyingi sana za kutuprove wrong
Khee 😂😂Hili nililijua mapema kabisa hata kabla hujaandika.
Uliza nilijuaje??.
Ila mapenzi ni usenge Sanaa.. ona jamaa kala mbunye weee Kwa miaka mingi mnoooo lkn mwisho mmetamanaz pengine hapo katikati wanaume wa kukuoa walikuja kwako ila ukawakataa Kwa ajili ya Jamaa.
Pengine hapo katikati umeshatoka mimba Kadhaa kadhaaaz hatimaye unakuja kuolewa na Good Boy ila ndo Ivo huzai.
Tuchukulie wee najamaa, mmekua wapenzi ukiwa na miaka 28, ongeza miaka mlopotezeana muda, hapo unagonga kama miaka 35 hivi !!!.
Miaka 35, maana yake unatafuta Mwanaume wa kuanzia miaka 37.
My Dear, mwanaume kuanzia miaka 37 Hajaoa ??? Awe Hajaoa, basi awe Hana hata Mwanamke ??? Hana hata mchumba???
Akiwepo wa hivo labda awe Hana Uchumi yaan Hana Kazi ,Hana Pesa, Hana chochote !!.
Na kama ana Pesa na kazi na Hajaoa Kwa huo Umri, maana yake ANA TABIA ZILE ZILE ZA THE BOLD ,zilizokufanya Muachane, yaan unaenda kukutana Tena na MTALAKA
mzunguko unarudi uleule wa Nifa-The Bold Mpya !!.
Hatari nayoiona?.
Unaweza Anza sema... No one can judge me .
Pia ukasema..... Ndoa sio lazimaa banaaaa Bora nitafute Watoto !!.
Mwisho..WANAUME TUACHE USENGEEE, HUWEZ PIGA PUMBU MTOTO WA MTU MIAKA YOTE HIYO ALAFU UMTEME.
Hata , Wadada hongereni, haiwezekan kuendelea kua kwenye Mahusiano na mwanaume anayekugonga bao la kuku dakika moja chalii!!.
MASELA WENZANGU WAKIUME NA KIKE NAWASHAURI...
MWANAMKE, HAKIKISHA UNAZINGATIA MAOKOTO YAKO KABLA YA KUANZA KUCHANUA MAPAJA OVYOOVYO YAAN KUWENI KAMA WALE WADADA WA TELEGRAM.
WANAUME, NAWASHAURI TUTAFUTE HELA ILI TINAPOTAKA NGONO AU WATOTO, TUPATE BILA KUWEKEZA MOYO SANA.
KOMENTI HII, NDIO UJUMBE WANGU WA KUWATAKUA MWAKA MPYA.
Wamekufanyaje jamani 😂😂Ya Jf ni balaa unakuta umeshushiwa uzi hapa na new id Kumbe ni babe wako huyo anakuponda 😂🚮
Kwakweli shukuru Mungu kipenzi,, maana😂😂aah sina nidhamu hiyo ya uogo,sikimbii mtu
Hahahaha acha nicheke tu mimiWe dada usihalibu uzi ukafutwa mbona unajistukia kila uzi🐒
Huu uzi ni wa Nifar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Moderators wametuwekea nini kwenye profile zetu?
Mbona Komwe la mama mkwe wangu limezibwa?
[emoji38][emoji38]Haya, mmewekea na mafataki mfaidi vizuri ubuyu japokuwa tumefunikwa uso[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila moderator alijichanganya kwanza na snow[emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣 wamekustiri new year usiingie na komweModerators wametuwekea nini kwenye profile zetu?
Mbona Komwe la mama mkwe wangu limezibwa?
wameturembaKuna anayeelewa avatars zimefunikwa na nini? [emoji1787][emoji1787]
Mana zile christmas ilikua snow
Sawa,unajua kutongoza pia inaendana na aina ya mwanamke mwenyewe japokuwa maneno hayabadikili lkn...muda ni mwalimu mzuri sanaAcha udomo zege jirani yangu
Humjui eeeeh!?tukuweke tu kwenye maombi akuwoweMzee gani tena 🤣🤣🤣
Yani mkiachana maswali ni mengi maneno pia mengi kiasi hata mkisalimiana watu lazima watengeneze story Haina afya ukiwa na mahusiano mengine pia
Bora kuficha had mfikie uchumba au ndoa