Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh umetisha august umeachana NOVEMBER mambo Moto kwa mwingineUnajichanganya mwenyewe, niliyeachana nae August namuongeleaje Nov?
Huyo ni mpenzi wangu wa sasa, usipoelewa subiri kuna siku nitamuongelea kwa kina.
Mlitendeana nini kikubwa hivyo!Mission impossible.
Nikisoma comments za hivi nakuwa na maswali sana.He is the one in a million, I couldn’t hesitate.
PoaHamna hata makubwa, haikupangwa tu.
Hutaki watu pessimistic kama sie....it is what it is.Baki nayo tu.
Allah??!!!! 😀 😀 😀 😀 😀Uislamu hauruhusu Muislamu kuolewa na asiekua Muislamu, unaolewa na mtu asiekua muislamu kutakua na kheri hapo! Kwanini usifanye subra mpaka upate Mwanamme wa kiislamu mwenye kheri nawe, unaingia kwenye mapenzi na mtu usiemjua na isitoshe sio wa imani yako!
Allah akuongoze dada yangu Nifah , akujaalie upate mume mwenye kheri nawe, nakupenda kwa ajili ya Allah
Amen Mjukuu 🙏Amini Babu, nampenda kiukweli kabisa.
Kweli wewe Babu yangu, mama yangu alizaliwa around hiyo miaka wakati wewe unaoa.
Ndio mimi na mkweo husema, vigezo pekee vya kupelekea kuoana ni kupendana kwa dhati nyote wawili, basi.
Si unaona nyie mmedumu? Nasi tutafuata nyayo zenu.
Hahahahahahaha ……..😂😂😂😂😂🙈🙈🙈————————Umenikumbusha kisa changu mie nyoko, mwaka 2013 si nikapata danga mie humu jf uzuri wangu mie huu si akanitambulisha kwa rafiki yake kaka mmoja hivi hatarii nikapita nae ikawa huku soja huku dokta kule mbeba box full kutupiana mipicha ya mihogo na mbususu. Nashukuru umalaya nimepunguza siku izi niko bize lkn wahusika wakisoma tu hapa wanajijua though siku izi mara nyinggi jf naingia kama guest au na hiki ki id changu fake.
1. Ilitosha kufungua uzi na kutoa taarifaNaukumbuka, na nakumbuka nilivyomwambia.
Kwani kuna shida gani?
We ulizidi shogaaa. Mi nikiwa na mmoja ndio huyohuyo.Umenikumbusha kisa changu mie nyoko, mwaka 2013 si nikapata danga mie humu jf uzuri wangu mie huu si akanitambulisha kwa rafiki yake kaka mmoja hivi hatarii nikapita nae ikawa huku soja huku dokta kule mbeba box full kutupiana mipicha ya mihogo na mbususu. Nashukuru umalaya nimepunguza siku izi niko bize lkn wahusika wakisoma tu hapa wanajijua though siku izi mara nyinggi jf naingia kama guest au na hiki ki id changu fake.
Sasa reli gani niliyotolewa jamani? Hakuna taarifa yoyote personal niliyoiweka hadi sasa.1. Ilitosha kufungua uzi na kutoa taarifa
2. Huenda ilikuwa ni makubaliano yako na mpenzi mpya ili kuondoa sintofahamu.
3. Kitendo cha kuendelea kujibizana na watu wenye maoni tofauti unatolewa kwenye RELI bila kujijua.
4. Huna uvumilivu wa kupuuzia maoni ya watu?
Unavyoendelea kujibizana unajivua nguo.
5. Najua hutajali hii post but...unajivua nguo tulia.
Kitendo cha kujibu kila swali kuna vitu utafunua ambavyo vywaweza kumsumbua Mdakuzi/Mdukuzi
Ushauri...nyamaza ukiweza
Mie nilikua machachari hataree yani starehe yangu mie ni kuwa na msululu niache siku izi staki mambo mengi eti nimeolewa.We ulizidi shogaaa. Mi nikiwa na mmoja ndio huyohuyo.