Nifahamishe kuhusu denda, kunyonyana ndimi

Nifahamishe kuhusu denda, kunyonyana ndimi

mkuu kwenye kemia kuna vitu wanaita reagent, kumbuka mambo ya litmas paper, kwenye base na acid n.k. sio lazima virusi vikae kwenye mate ndio vipimwe, bali inawezekana mwenye hiv mate yanareact tofauti na reagent husika ukilinganisha na yule aliye hiv free.


na kipimo hicho kinaweza kuwa ni kiashiria cha mwenye hiv bila kugusia virusi kuwepo kwenye mate per se.
uchanganyaji wa reagent unaweza kupelekea mabadiliko ya rangi ya mate na kuelezea kuwa mwenye mabadilikohaya akawa na virusi kulingana na tabia za virusi kuathiri mfumo unaotengeneza mate tena pengine bila hivyo virusi kukaa kwenye mate. ma-daktari wetu wanaweza ku-paste nje lakini wakawa sahihi pia. ni kama kupima ujauzito kwa kutumia mkoja, hapa wanapima mkojo lakini reaction yake (albumin) inatoa ishara kuwa mama ni mjamzito, hivyo hatuwezi kusema mimba inakaa kwenye kibofu. nadhani nitakuwa nimejitahidi kuelezea kwa kiasi, i hope kuna wataalam wengine wako field hii watajibu kiufasha kabisa.
kwa mujibu wa elimu yangu ya kidokta tuliambiwa virusi vinaweza kuwepo kwenye mate pia.
mfano wa magonjwa kama foot and mouth disease(FMD).


stop worrying and start living​

Mliambiwa tu, lakini je na nyie mlifanya lolote kuhakikisha hivyo? au mlivyoambiwa tu basi nyie mkaiwekea tiki.
 
mkuu kwenye kemia kuna vitu wanaita reagent, kumbuka mambo ya litmas paper, kwenye base na acid n.k. sio lazima virusi vikae kwenye mate ndio vipimwe, bali inawezekana mwenye hiv mate yanareact tofauti na reagent husika ukilinganisha na yule aliye hiv free.


na kipimo hicho kinaweza kuwa ni kiashiria cha mwenye hiv bila kugusia virusi kuwepo kwenye mate per se.
uchanganyaji wa reagent unaweza kupelekea mabadiliko ya rangi ya mate na kuelezea kuwa mwenye mabadilikohaya akawa na virusi kulingana na tabia za virusi kuathiri mfumo unaotengeneza mate tena pengine bila hivyo virusi kukaa kwenye mate. ma-daktari wetu wanaweza ku-paste nje lakini wakawa sahihi pia. ni kama kupima ujauzito kwa kutumia mkoja, hapa wanapima mkojo lakini reaction yake (albumin) inatoa ishara kuwa mama ni mjamzito, hivyo hatuwezi kusema mimba inakaa kwenye kibofu. nadhani nitakuwa nimejitahidi kuelezea kwa kiasi, i hope kuna wataalam wengine wako field hii watajibu kiufasha kabisa.
kwa mujibu wa elimu yangu ya kidokta tuliambiwa virusi vinaweza kuwepo kwenye mate pia.
mfano wa magonjwa kama foot and mouth disease(FMD
lakini wakati huo huo ukijitahidi kuitetea hii mada kumbuka pia usipige mswaki kama unampango wa kula denda wakati huo huo na wala usile miwa au dagaa am chochote kifananacho ambacho lazima kikuache na majeraha kinywani halafu theory ya mimba ni tofauti kidogo na hii ya HIV mkuu mkojo kupima mimba haiwezi kufanana na upimaji wa HIV kwa njia kinywa kumbuka wale ni VIRUS mkuu wangu, lakini hata hayo majibu mnayo toa madokta wetu kuhusu HIV still ni ya ku copy and paste from wadhungu and note lengo la huu ugonjwa kutengenezwa halafu REF:kwenye maelezo yangu ya awali ,but all in all CHANGANYA NA ZAKWAKO so mtu akikwambia kitu hata kama atakuhakikishia vipi embu jaribu kuisumbua akili yako kwa hilo

 
mkuu kwenye kemia kuna vitu wanaita reagent, kumbuka mambo ya litmas paper, kwenye base na acid n.k. sio lazima virusi vikae kwenye mate ndio vipimwe, bali inawezekana mwenye hiv mate yanareact tofauti na reagent husika ukilinganisha na yule aliye hiv free.


na kipimo hicho kinaweza kuwa ni kiashiria cha mwenye hiv bila kugusia virusi kuwepo kwenye mate per se.
uchanganyaji wa reagent unaweza kupelekea mabadiliko ya rangi ya mate na kuelezea kuwa mwenye mabadilikohaya akawa na virusi kulingana na tabia za virusi kuathiri mfumo unaotengeneza mate tena pengine bila hivyo virusi kukaa kwenye mate. ma-daktari wetu wanaweza ku-paste nje lakini wakawa sahihi pia. ni kama kupima ujauzito kwa kutumia mkoja, hapa wanapima mkojo lakini reaction yake (albumin) inatoa ishara kuwa mama ni mjamzito, hivyo hatuwezi kusema mimba inakaa kwenye kibofu. nadhani nitakuwa nimejitahidi kuelezea kwa kiasi, i hope kuna wataalam wengine wako field hii watajibu kiufasha kabisa.
kwa mujibu wa elimu yangu ya kidokta tuliambiwa virusi vinaweza kuwepo kwenye mate pia.
mfano wa magonjwa kama foot and mouth disease(FMD).


stop worrying and start living​

Nahisi upo sawa kwa asilimia kubwa, nimesoma jinsi ya kujipima kwa kutumia kipimo cha mate nahisi upo sahihi. Thanks
 
LOOK

j
a
m
b
o

l
a
m
s
i
n
gi
n
I

k
u
a
k
i
k
i
s
h
a

e
l
i
m
u

k
u
u
s
u

U
k
i
m
wi

h
a
i
t
o
k
a
n
I

n
a

t
or
y

z
a

m
ta
a
n
I

z
a
id
I

n
I

k
u
w
a
o
n
a

w
a
ta
a
l
a
m
u

w
a

A
y
a

k
w
a
n
I

m
t
a
a
n
I

k
u
n
a

me
g
I

y
a
k
i
e
m
o

udangayifu
 
We dendalise tu mwanawani, kama walivyoshauri wakuu hapo juu, denda ni salama zaidi kama wote mtakuwa michubuko ya midomo free.
 
Denda ni salama pale tu midomo ya wadendanaji ipo salama, yaani hakuna michubuko wala abnomality yoyote. Vinginevyo usalama hakuna.

Tafiti zinasema kupitia denda upo uwezekano wa kuambukizana ukimwi, lakini uwezekano huo unakuja pale ambapo mmedendana mfululizo kufikia kubadilishana denda kiasi cha lita 5.

Denda la Lita 5. Hii Kali. Mpaka ufikishe Lita hizo. Inabidi uwe mdendaji sugu.
 
well jukumu ni lako kujilipua, lakini siku hizi kuna ugonjwa unaitwa herpes unaweza kuupata kwa kudendeka na ni virus kuwa makini chukua hatua
 
lakini wakati huo huo ukijitahidi kuitetea hii mada kumbuka pia usipige mswaki kama unampango wa kula denda wakati huo huo na wala usile miwa au dagaa am chochote kifananacho ambacho lazima kikuache na majeraha kinywani halafu theory ya mimba ni tofauti kidogo na hii ya HIV mkuu mkojo kupima mimba haiwezi kufanana na upimaji wa HIV kwa njia kinywa kumbuka wale ni VIRUS mkuu wangu, lakini hata hayo majibu mnayo toa madokta wetu kuhusu HIV still ni ya ku copy and paste from wadhungu and note lengo la huu ugonjwa kutengenezwa halafu REF:kwenye maelezo yangu ya awali ,but all in all CHANGANYA NA ZAKWAKO so mtu akikwambia kitu hata kama atakuhakikishia vipi embu jaribu kuisumbua akili yako kwa hilo

Naomba kuuliza endapo mtu atalamba damu ya mwathirika wa ukimwi, je na yeye atapata ukimwi?
 
Denda ni salama pale tu midomo ya wadendanaji ipo salama, yaani hakuna michubuko wala abnomality yoyote. Vinginevyo usalama hakuna.

Tafiti zinasema kupitia denda upo uwezekano wa kuambukizana ukimwi, lakini uwezekano huo unakuja pale ambapo mmedendana mfululizo kufikia kubadilishana denda kiasi cha lita 5.
Denda lita 5????
 
Back
Top Bottom