Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,170
Weka picha yake sasa.nahis ni hartman mbilinyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha yake sasa.nahis ni hartman mbilinyi
Nasikia anatumia tecno ya laki moja na ishirini elfu.Anachura flani hivi,hatari
Mwambie ajiandae kutumia i products,ila chura aliweNasikia anatumia tecno ya laki moja na ishirini elfu.
Na nyumba inasemekana ya kaka ake anaisimamiahuyo ni msanii muongo muongo sanaa yaan yaan mala kanunua gari kumbe kapewa saa hz anadai anajenga nyumbaa
Ni india kendrick ndio alipokua anauziaAlikuwa anafanya biashara isio rasmi uko china akarudi Tz ghafla kawa msanii
Mi siku hiz nimechoka umbea hahahaDinazarde uje bas utupe wasifu wa msanii malaika.
*ana bunduki nzuri(pistol)
*ana mkia mzuri (chura)
*ana reception nzuri(sura)
*ana macho mazuri na tabasamu
*ana vocal nzuri ya kumtoa nyoka pangoni(sauti)
Anajiita Eddy jina lake halisi silijui ila walikua wanakaa wote kunduchiMkuu ninani huyo jamaa mtaje bc tumjue au weka picha yke
inawezekana kweli anasimamiaa maana sio kujishaua kwa gari lileNa nyumba inasemekana ya kaka ake anaisimamia
Mkuu nimekupm kwaajili ya no.zakeAnaitwa Diana Malaika Exavery Clavery.
Alikuwa anafanya visual lab kw adam kama artist make up kwa wasanii na ma model kwenye video jambo lililomfanya akutane na wasanii wengi.
Mwaka 2013 ndipo chegge alisikia sauti yake akaamua mshirikisha kwenye ngoma ya uswaz take away.
From there akapata confidence ya kuendelea n mziki.
Hajaolewa na hana mtoto...
Si ni lile jumba lenye matofali kama ya kuchoma? Baada ya kampeni mwaka jana madhani alinunua gari.Na nyumba inasemekana ya kaka ake anaisimamia
Biashara gani hiyo isiyo rasmi?Alikuwa anafanya biashara isio rasmi uko china akarudi Tz ghafla kawa msanii