ntita
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 513
- 285
Wanajf
naomba kufahamishwa yafuatayo kuhusu kozi hii;
1.ukiingia kazini, ni baada ya muda gani unaweza kurudi tena kusoma?
2.ukichukua yenye physics, unaweza soma masters ya physics?
3.ni kwa namna gani unapata fedha ya kurudi tena chuoni?
natanguliza shukurani
naomba kufahamishwa yafuatayo kuhusu kozi hii;
1.ukiingia kazini, ni baada ya muda gani unaweza kurudi tena kusoma?
2.ukichukua yenye physics, unaweza soma masters ya physics?
3.ni kwa namna gani unapata fedha ya kurudi tena chuoni?
natanguliza shukurani