Msanii Nas katika wimbo wake maarufu I can,
Alisema "You can be anything in the world... but nothing comes easy it takes much practice"
Jambo la kwanza na la muhimu ni kutambua udhaifu wako katika
maeneo mbali mbali kisha unayafanyia kazi kisawa-sawa.
Jambo lingine ni udadisi na shauku,ili kutambua Mambo mengi na kuwa na maarifa kichwani udadisi ni kitu kikubwa,udadisi wa maswali mbali mbali yawe ya kimaisha au zaiidi,unayatafakari unafikirisha ubongo, kisha unayafanyia kazi kisawa kisawa pia Usomaji vitabu tofauti tofauti vinavyuhusu Maisha,Biashara,Elimu,Sayansi n.k Mfano ushawishi wa hoja huwezi kuwa mjenga hoja mzuri na mwenye ushawishi kama unavitu vichache kichwani na njia ipi unayotumia kufikisha kufikisha hoja zako.
Pia uchaguzi sahihi wa eneo unalotaka kulifanyia kazi kisha inalitengea muda wa kutosha. Mfano magician maarufu bwana Steven "Dynamo the magician" yeye aliaanza kufatilia na kutenga muda wake tangu akiwa na umri mdogo alijifunza na kufanya mazoezi katika masuala ya magic hivi sasa anatambuliwa na wengi kama the best magician,hivyo kila jambo linahitaji muda,bidii,nidhamu na kufanya mazoezi sana.
Shukran!!Yangu ni hayo tu.