Nifanyaje ili Niwe na Uwezo 'Power' ?

Nifanyaje ili Niwe na Uwezo 'Power' ?

Msanii Nas katika wimbo wake maarufu I can,
Alisema "You can be anything in the world... but nothing comes easy it takes much practice"

Jambo la kwanza na la muhimu ni kutambua udhaifu wako katika
maeneo mbali mbali kisha unayafanyia kazi kisawa-sawa.

Jambo lingine ni udadisi na shauku,ili kutambua Mambo mengi na kuwa na maarifa kichwani udadisi ni kitu kikubwa,udadisi wa maswali mbali mbali yawe ya kimaisha au zaiidi,unayatafakari unafikirisha ubongo, kisha unayafanyia kazi kisawa kisawa pia Usomaji vitabu tofauti tofauti vinavyuhusu Maisha,Biashara,Elimu,Sayansi n.k Mfano ushawishi wa hoja huwezi kuwa mjenga hoja mzuri na mwenye ushawishi kama unavitu vichache kichwani na njia ipi unayotumia kufikisha kufikisha hoja zako.

Pia uchaguzi sahihi wa eneo unalotaka kulifanyia kazi kisha inalitengea muda wa kutosha. Mfano magician maarufu bwana Steven "Dynamo the magician" yeye aliaanza kufatilia na kutenga muda wake tangu akiwa na umri mdogo alijifunza na kufanya mazoezi katika masuala ya magic hivi sasa anatambuliwa na wengi kama the best magician,hivyo kila jambo linahitaji muda,bidii,nidhamu na kufanya mazoezi sana.


Shukran!!Yangu ni hayo tu.
Umeeleweka Ndugu! Ahsante saana!
 
Salaam Wakuu!

Naleta kwenu hii hoja, yamkini wapo wengi wanajiuliza swali kama hili. Kiukweli sina jibu, ila nimeleta huku kuna watu watasaidia kulifumbua hili.

Jambo la kujiuliza je Kuna watu waliumbwa Wanyonge na wengine kuwa na Nguvu ama Hodari, yaani ambao hawaguswi hovyo? Aidha kuwa na Nguvu za Utiisho ama za kuamuru jambo fulani kwako lisiwe tatizo kulifikia!

Kuna Nguvu za Mtu kuamuru jambo fulani lisitendeke hata kiimani likiwemo, mfano katka nguvu za Giza, ama kuwa na Ushawishi wa Kihoja mpaka unasikilizwa na kutekelezwa wazo lako.

Katika mfumo wa Dunia naamini kuna Mambo mengi saana ambayo wanadamu tunaweza kuyafanya hata kushangaza wengine. Sasa hoja yangu nifanyaje ili kupata huo Uwezo?

How can I become a Superiorman?

Ahsanteni,na Karibuni!
Fanya meditation ndo kila kitu hadi kuamuru tupa ijipinde au msumari ung'ooke utafanya ilimradi tu ujue nini unafanya na utie mkazo kwa ufanyalo litatokea

Tafakari kwa kina
 
kila mtu anaextra power ambayo Mungu kamuwekea kwa kiwango chake lakini ili kuipata unatakiwa uwe na kiwango kikubwa cha imani na pia uwe na uelewa wa mambo ya rohoni sababu ni kiwango cha juu cha kujitambua,hapo ukitambua hadi hapo ndio unakuwa kukaribia uwezo wa mwisho wa mwanadamu...wengi wetu hatujitambui hata kile kidogo ukifanya kwa uwezo wako kama kuread mind unajilimit kama umeotea badala ya kufuatilia jinsi ya kuifuatilia natural power yako.
 
Back
Top Bottom