Nifanyaje ili niweze kuipata hii hela

Nifanyaje ili niweze kuipata hii hela

Inaonesha hakuwa na ujuzi wa kufanya hiyo kazi.

Kutana naye, ongea au msaidie ushauri ili aweze kufanya hiyo biashara, so he may refund you
Alifeli sehemu ndogo Sana kwenye kutafuta trucks za kubeba mzigo. Aliwatumia madalali wenye njaa . Wakampa bei ambayo haipo sokoni na yeye kwa hofu ili mzigo usichelewe akaingia mkenge.

Can you imagine sehemu ya kwenda Kwa USD 4300 yeye walimwambia USD 4700 hivyo Kwa gari sita tayari hesabu ilishagoma hapo.

Hakunishirikisha hapo mwanzo Kwa sababu alinihakikishia anao uwezo wa kupata reliable transporter with good transport rates.

Ila sasa ndio tunatafutana Kwa jinsi nilivyo huwa nawapa idea na free consultation watu ambao wanapenda hizi biashara.

Sometimes usingizi unapotea kabisa kabisa jinsi zilivyo na stress .
 
Mara nyingi huwa tunaibiwa au kutapeliwa.Ikitokea hivyo usilazimishe kurudisha kilichopotea.Dai kwa kadri inavyowezekana lakini usivuke mipaka mpaka ukafikiria kutoa roho ya mtu au kujitoa roho yako mwenyewe.
Kwa ugumu uliouona samehe na weka mikakati mipya unapokusudia kufanya jambo la gharama kubwa.Mwenyezi Mungua atakufungulia upate kuliko hicho ulichokisamehe.
@Ami biashara tukifanya hivyo hatutatoboa Bora ibaki kwenye finance book kama ni debtor mpaka itafika muda wa kuhesabu kama loss . Ila Kwa sasa bado mapema.

Ahsante Kwa ushauri wako pia
 
Dawa mtupie Juju matako yake yawe laini laini yanalow mda wote.
Watu siku hizi sio waaminifu kabisa ukitaka kugombana na mtu mkopeshe hela. Nilizulumiw na mtu wangu qa karibu sana mpaka leo akiniona anakenua Kenua
anafikiri nimesahau.
Naunga mkono hoja unamdai $1800 chukua $300-500 kumaliza hiyo kazi iwe funzo kwa wangese wengine wanaodhani pesa ni sawa na muvvuzz kusema kila mtu anayo.
 
Habari za usiku wanajamvi.
Kwanza nikiri kuwa nilifanya uzembe Kwa kuleta ujamaa kwenye biashara.

Nashughurika na Mambo ya Logistics sasa last year kuna jamaa yangu mmoja alifungua kampuni ya clearing & Forwarding Ila kupata kazi ilikuwa kipengele hivyo akaniomba nimpasie angalau wateja wawili naye ofisi iwe busy . Kiroho Safi nilimpasia mteja mmoja ambaye Kwa kuanzia alimpa container 8 za kupeleka Rwanda.

Ila quotations nilitoa Mimi nikampa averify akiona itamlipa basi aendelee Ila akiona haina faida aache. Akajiridhisha akasema anaweza Ku handle Ile business. Basi akapewa advance 50% ya makubaliano kuwa iliyobaki atapewa container zikifikq na kuwa offloaded.

La haula aliotoa container nne tu akasema Hana hela ya kumalizia zilizobaki hapo ndio shida ilipoanzia. Hela alichukua nyingi kulikokazi aliyofanya uwezo wa kurudisha hela iliyobaki Hana . Nikapiga mahesabu nikaona Kwa hapa palipobaki akipewa angalau Dola elfu 6 anamalizia nikaongea na mteja akakubali kulipa hiyo hela.

Hapo pia akatoa mbili zikabaki mbili mteja akagoma kuongeza hela .

Ikabadi zilizobaki nitoe Mimi Kwa kampuni yangu sasa gharama ikazidi USD 1800 ambayo sijui yeye alikosea wapi kwenye operations zake ndio maana hela haikumtosha. Mimi namdai hiyo hela tangu December mpaka sasa hivi simu zangu hapokei na kila nikienda ofisini kwake simkuti.

Kosa nililofanya there was no signed agreement for both parties. Hivyo hata kudai kisheria nashindwa.

Naomba nipate msaada wa mawazo how can I get my money back. The guy inaonekana intentionally Hana Nia ya kunilipa.

Thanks nitasom mawazo yenu.
Huna ulinzi shirikishi mfukoni/kiunoni?
 
Habari za usiku wanajamvi.
Kwanza nikiri kuwa nilifanya uzembe Kwa kuleta ujamaa kwenye biashara.

Nashughurika na Mambo ya Logistics sasa last year kuna jamaa yangu mmoja alifungua kampuni ya clearing & Forwarding Ila kupata kazi ilikuwa kipengele hivyo akaniomba nimpasie angalau wateja wawili naye ofisi iwe busy . Kiroho Safi nilimpasia mteja mmoja ambaye Kwa kuanzia alimpa container 8 za kupeleka Rwanda.

Ila quotations nilitoa Mimi nikampa averify akiona itamlipa basi aendelee Ila akiona haina faida aache. Akajiridhisha akasema anaweza Ku handle Ile business. Basi akapewa advance 50% ya makubaliano kuwa iliyobaki atapewa container zikifikq na kuwa offloaded.

La haula aliotoa container nne tu akasema Hana hela ya kumalizia zilizobaki hapo ndio shida ilipoanzia. Hela alichukua nyingi kulikokazi aliyofanya uwezo wa kurudisha hela iliyobaki Hana . Nikapiga mahesabu nikaona Kwa hapa palipobaki akipewa angalau Dola elfu 6 anamalizia nikaongea na mteja akakubali kulipa hiyo hela.

Hapo pia akatoa mbili zikabaki mbili mteja akagoma kuongeza hela .

Ikabadi zilizobaki nitoe Mimi Kwa kampuni yangu sasa gharama ikazidi USD 1800 ambayo sijui yeye alikosea wapi kwenye operations zake ndio maana hela haikumtosha. Mimi namdai hiyo hela tangu December mpaka sasa hivi simu zangu hapokei na kila nikienda ofisini kwake simkuti.

Kosa nililofanya there was no signed agreement for both parties. Hivyo hata kudai kisheria nashindwa.

Naomba nipate msaada wa mawazo how can I get my money back. The guy inaonekana intentionally Hana Nia ya kunilipa.

Thanks nitasom mawazo yenu.
Njoo dm Nina mganga wa uhakika
 
Dawa mtupie Juju matako yake yawe laini laini yanalow mda wote.
Watu siku hizi sio waaminifu kabisa ukitaka kugombana na mtu mkopeshe hela. Nilizulumiw na mtu wangu qa karibu sana mpaka leo akiniona anakenua Kenua
anafikiri nimesahau.
Juju gani hiyo
 
Yes nipo Dar.
Nitafanya hivyo ingawa najua hapa urafiki ndio unaisha.

Urafiki na wahuni itakugharimu, mwanaume una urafiki na wanao na mke wako kwa sababu anakulelea wanao.

Ndugu na wote wengine, nje ya Baba na Mama kama hawaeleweki unaachana nao mazima.

Ila mpe mda jamaa labda anajipanga kulipa, kuna watu wengine hawapokei simu maana hawataki kuku dissapoint.
 
Nakodisha bastola mkuu hela mbona inarudi hiyo
JamiiForums-940899099.jpg
 
Mkuu hata akinilipa kidogo kidogo Mimi sina shida . Let's say anipe Dola 100 kila mwezi sio tatizo.

Lengo ni awe na dhamira ya kunilipa tu kuliko hivi anavyonifanyia. Hizi biashara zetu ni chain hivyo tunasaidiana Sana.

Sometimes unapeleka mzigo hata Rwanda Bugarama huko na hauchukui hata advance Ila end of the day mzigo unafika Kwa mteja na malipoyako full unayapata.

Trust ndio msingi wa biashara Mkuu. Na watanzania wengi wanashindwa kusonga mbele Kwa sababu wanakosa uaminifu.

Nilijifunza hizi biashara Kwa wahindi na ninafanya nao kazi wengine hatujawahi hata kuonana Zaidi ya miaka Saba. Ni emails na money transactions Tu baada ya cargo Ku delivered . Ili huyu mwenzangu alitaka kuniharibia Kwa mteja ndio maana nikamalizia palipobakia ili nisionekane naanza ngonjera za Kitanzania.
Pole sana kaka.
Waswahili sio watu wa kuwadhamini,hawajali wala kuangalia future hao wanaangalia leo tu.
Angalia jina lako lilitaka kuharibiwa kwa ajili ya huyo mzembe mmoja halafu mwenzako wala hajali
 
Unakaa Dar? Nitakushauri namna, usiende mahakaman, mpe presha kwa njia ya police.
Kaa nae ili uelewe vyema iwapo ni jeuri tu wa kulipa au amekwama pahali.Kama ni jeuri tumia nguvu nguvu hizo za kisheria.Kama amekwama na ana nia angalia namna mbili iwapo anashaurika mpe mbinu za kibiashara ainuke ili akulipe.Kama ni uzembe na hakuna dalili za kuinuka ndipo hapo msamehe na umuombee Mungu na ujiombee mwenyewe upate kuliko ulichopoteza.Ukifuata ushauri wangu hutapata hasara yoyote. Ama kitisho cha polisi kinaweza kikakugharimu mwenyewe.Yawezekana anajua vipembe vya kupenya wewe usivyovielewa hasa kwa vile katika polisi wetu hakufuatwi sheria kikamilifu.
 
Habari za usiku wanajamvi.
Kwanza nikiri kuwa nilifanya uzembe Kwa kuleta ujamaa kwenye biashara.

Nashughurika na Mambo ya Logistics sasa last year kuna jamaa yangu mmoja alifungua kampuni ya clearing & Forwarding Ila kupata kazi ilikuwa kipengele hivyo akaniomba nimpasie angalau wateja wawili naye ofisi iwe busy . Kiroho Safi nilimpasia mteja mmoja ambaye Kwa kuanzia alimpa container 8 za kupeleka Rwanda.

Ila quotations nilitoa Mimi nikampa averify akiona itamlipa basi aendelee Ila akiona haina faida aache. Akajiridhisha akasema anaweza Ku handle Ile business. Basi akapewa advance 50% ya makubaliano kuwa iliyobaki atapewa container zikifikq na kuwa offloaded.

La haula aliotoa container nne tu akasema Hana hela ya kumalizia zilizobaki hapo ndio shida ilipoanzia. Hela alichukua nyingi kulikokazi aliyofanya uwezo wa kurudisha hela iliyobaki Hana . Nikapiga mahesabu nikaona Kwa hapa palipobaki akipewa angalau Dola elfu 6 anamalizia nikaongea na mteja akakubali kulipa hiyo hela.

Hapo pia akatoa mbili zikabaki mbili mteja akagoma kuongeza hela .

Ikabadi zilizobaki nitoe Mimi Kwa kampuni yangu sasa gharama ikazidi USD 1800 ambayo sijui yeye alikosea wapi kwenye operations zake ndio maana hela haikumtosha. Mimi namdai hiyo hela tangu December mpaka sasa hivi simu zangu hapokei na kila nikienda ofisini kwake simkuti.

Kosa nililofanya there was no signed agreement for both parties. Hivyo hata kudai kisheria nashindwa.

Naomba nipate msaada wa mawazo how can I get my money back. The guy inaonekana intentionally Hana Nia ya kunilipa.

Thanks nitasom mawazo yenu.
Sio kila mtu ni mfanya biashara!
 
  • Kama hiyo fedha unaweza kusamehe, fanya hivyo na uvunje urafiki uliopo.
  • Mahakamani haitasaidia kwa sababu hakuna vielelezo
  • Ukitumia umafia, mungu hapendi pia
  • Kwa kujiridhisha, unaweza ukamtumia ujumbe kwa kutumia wazee, askari n.k wakakutana naye, na kuweka utaratibu wa kurejesha; ingawa utaingia gharama kiasi
 
Back
Top Bottom