Nifanyaje kumpata binti ambaye ni maarufu?

Nifanyaje kumpata binti ambaye ni maarufu?

Nnachoweza kukiri ni kwamba mimi ni domo zege.

Basi mkuu niletee Paula, nipe invoice yake na yako ya kumleta.
Pole mkuu. Mie sina connection nao hao watu ila ungekuwa unakutana nao huko Dubai ungejichotea sana tu. Wakiwa huku Bongo wananyata ila kule wanakuwa wajinga flani tu hivi.
 
Back
Top Bottom