Nifanyaje kumpata binti ambaye ni maarufu?

Nifanyaje kumpata binti ambaye ni maarufu?

Wasalaam wanajamii,

Kati ya fantasy moja ambayo huwa nataman kuitimiza kabla sijajifunga na mambo ya ndoa huwa ni KUMLA Celebrity mmoja.

Nawasikia tu watu wakisema hawa wanalika sema lazima uwe na connection flan hivi ili uwasilishe dau nono ujiopolee mtoto mkaleee.

Nani mwenye uzoefu na haya mambo?

Malaika alivyo mrembo vile
Batuli ananivuruga akili
Welu sengo anacheza na figo yangu
Kajala macho hayakomi
Paula Majan vidole havikomi kumzoom
Mimi Mars looh
Tunda, shamsha, Lina, Hamisa, abby charms nk nk
Hao uliowataja watatu wana ngoma
 
Mm namtamani yule video queen wa kwenye nyimbo ya "yatapita" ya Diamond Platnumz, nimetamani lile paja, mguu, na rangi yake ya ngozi amadala Victoire To yeye Fastaaa
Kacheck post zake alivyokuwa anafanyia song release atakuwa kamtag vixen wake kuwapa urahisi, andaa pesa yako na Mimi nimekuandalia Panadol za Kenya
 
Tayari huyo ni positive,tena juzi kati alijichanganya akaweka majibu yake mistali miwili yote imereact .Baadae alishtuka akafua faster.
Hivi watu huu ugonjwa wanauchukuliaje? Hawauogopi au? Yaani ni kama mchezo hivi leo mzima kesho nimeupata.
 
Back
Top Bottom