Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Naiheshimu sana mkuu...Hiyo kazi ya saidia sio poaaa aiseee Fundi manyumba
Katika heavy work bongo hapa hiyo ni namba moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naiheshimu sana mkuu...Hiyo kazi ya saidia sio poaaa aiseee Fundi manyumba
Yani saidia fundi ndo anachoka zaidiiiii ya fundi mwenyew na hela yenyewe ndogo aiseeNaiheshimu sana mkuu...
Katika heavy work bongo hapa hiyo ni namba moja
Oyaaa weeeh acha tuu nikikumbuka huwa nakaa chini natamani kuliaYani saidia fundi ndo anachoka zaidiiiii ya fundi mwenyew na hela yenyewe ndogo aisee
Ndo apo sasa kwenye hustle pain ipo Kaka🙌🙌🙌Oyaaa weeeh acha tuu nikikumbuka huwa nakaa chini natamani kulia
UmenenaKuoa na kuolewa sio lazima, achilia kuwa kwenye mahusiano.
Wee kulaa,vaa,lala, bas umemaliza hapo. Maisha mafupi hayaa.
Poleeee sanaaa.
Shukran mno mkuuIkifika wakati wako sahihi wala hilo swala halitokuwa yaani ndio hivo tuu moja kwa moja
Oya kuna kipindi mpaka nikawa nawaza hv kuna wale ambao saidia fundi kama main job sijui wanakuaga na halinganNdo apo sasa kwenye hustle pain ipo Kaka🙌🙌🙌
Mikono kupasuka kwa cement aisee khaa we acha tu 😅😅😂Oya kuna kipindi mpaka nikawa nawaza hv kuna wale ambao saidia fundi kama main job sijui wanakuaga na halingan
DahhhhhSolution ni moja tuuuu
WATOMB(E) halafu pita hiviiii
#YNWA
Pole mno mkuuMkuu same to Mimi natamani niweke mkekaa hapa WA text yake ya mwisho.
but me alinambia wazazi wake ndo wamemchagulia mtu wa kumuoa aliniomba Sana radhi nisimuwekee kinyongo ilikua ni mtiti kumsahau miaka 4 kwenye mahusiano alikuwa kama mke alikuja kuondoka siku Moja TU kwenye maisha yangu niliumia Sana. Lakini Sasa at least nimemsahahu nafanya mitikasi yangu nimekua msela tena sikai na paka
MhhhhBado hujakamatika bwamdogo.....
Uko wapi.....Solution ni moja tuuuu
WATOMB(E) halafu pita hiviiii
#YNWA
Mh unampotosha mwenzako!Kuoa na kuolewa sio lazima, achilia kuwa kwenye mahusiano.
Wee kulaa,vaa,lala, bas umemaliza hapo. Maisha mafupi hayaa.
Poleeee sanaaa.
Amekutouch'nini?Uko wapi.....