Nifanyaje niwe Maarufu kama Dkt. Shika?

Hunitaki mema

muya ataho ,

Umeomba ushauri ili uwe maarufu sasa "sikutakii mema" inatoka wapi tena!?

Jambo la msingi , ni wewe kutekeleza ushauri kisha utaona matokeo na umaarufu wako unavyoongezeka ghafula.

Kama hutaki kuwa, maarufu achana na huo ushauri niliokuandikia hapo comment namba #2.
 
Ushaur wa kuaana
 
Jaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
shikishwa ukuta hadharani huku vyombo vya habari vikishuhudia.
 
Kanye kwenye kitanda cha mzee kipara pale magogoni na mtukane mwambie mzee una bichwa ka dafu upara ka sola panel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…