muya ataho
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 508
- 340
- Thread starter
- #41
Bhange hizoToa tigo hadharani mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhange hizoToa tigo hadharani mkuu.
Hiyo iko poa ngoja niende kwenye mnaraPanda gorofa lolote refu, tishia kujirusha mpk rais aje.
Siyo bange mkuu si unataka kuwa maarufu tatizo lipo wapi?Bhange hizo
Ushaur wa kichokoSiyo bange mkuu si unataka kuwa maarufu tatizo lipo wapi?
We nina familia ujueWale hawana shida mkuu!! Unaenda ukiwa umevua suruali ubaki na shati
Kwanza soma kiwango chakeJaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
Poa mkuu usmaind sana ndo njia rahs kuwa super staa,nyingne mbwebwe tuuUshaur wa kichoko
Mi ni dk wa mifugoKwanza soma kiwango chake
Aaanze na weweNenda akuoe
Bado sana! Mwenzio ana digrii nneMi ni dk wa mifugo
Poa njoo na ushaur mzurPoa mkuu usmaind sana ndo njia rahs kuwa super staa,nyingne mbwebwe tuu
Hata mimi ninayo ya suaBado sana! Mwenzio ana digrii nne
Nenda ukweni kanye.Poa njoo na ushaur mzur
HujielewiUnataka dudu soma ulichopost
DuuuNenda ukweni kanye.
mtongoze mke wa mkubwa na ufumaniwe naeJaman wana jamvi nimeona jinsi dk shika alivyokuwa maarufu ghafla mnisaidie niwe maarufu pia kama yeye nifanyeje
Mkubwa ganimtongoze mke wa mkubwa na ufumaniwe nae
HujielewiSoma uwe na Digrii Tatu alafu njoo nikukate vidole