Nifanyaje niwe Maarufu kama Dkt. Shika?

Nifanyaje niwe Maarufu kama Dkt. Shika?

Fanya hivi, siku ya meli za wachina zikija kwa ajili ya matibabu nenda, sikilizia hadi Bashite akipata nafasi ya kuzaliwa nenda na cheti chochote jifanye kama unampa, ukimaliza rudi nyumbani sikilizia taarifa ya habari ITV then ingia kwenye social medias
 
Back
Top Bottom