MwanadadaWEWE NI MWANAMKE AU MWANAUME??tuanzie hapo kwanza
hhhaha aisee swali gan hili jamanWEWE NI MWANAMKE AU MWANAUME??tuanzie hapo kwanza
Swali nzuri tu mana kuna kazi za kiume na za kikehhhaha aisee swali gan hili jaman
KWA KIPATO HICHO MKUU UKIPATE KWA HARAKA AFU KWA MCHONGO WA SIKU CHACHE NI NGUMU SANA KWA SASA.LABDA UPATE WARSHA NA SEMINA ZA KISERIKALI AU VINGINEVYO UFANYE KAZI HARAMUMwanadada
Kazi haramu kama IPI? Mwenyewe naitaka hiyo hela faster ila haramu hiyo isiwe ujambazi wala kubeba madawaKWA KIPATO HICHO MKUU UKIPATE KWA HARAKA AFU KWA MCHONGO WA SIKU CHACHE NI NGUMU SANA KWA SASA.LABDA UPATE WARSHA NA SEMINA ZA KISERIKALI AU VINGINEVYO UFANYE KAZI HARAMU
Kazi haramu hapana, napenda kazi halali kabisaKWA KIPATO HICHO MKUU UKIPATE KWA HARAKA AFU KWA MCHONGO WA SIKU CHACHE NI NGUMU SANA KWA SASA.LABDA UPATE WARSHA NA SEMINA ZA KISERIKALI AU VINGINEVYO UFANYE KAZI HARAMU
[emoji34] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kazi haramu kama IPI? Mwenyewe naitaka hiyo hela faster ila haramu hiyo isiwe ujambazi wala kubeba madawa
Unataka kweliKazi haramu kama IPI? Mwenyewe naitaka hiyo hela faster ila haramu hiyo isiwe ujambazi wala kubeba madawa
DomUpo mkoa gani mkui
mkuu hizo ndizo kazi zenyewe haramu ukijumlisha na kuuza papuchi.Niliongea na muuza papuchi mmoja pale Kinondoni anasema kwa siku analala ma 50k au zaidi.Akikosa sana 30k.Kazi haramu kama IPI? Mwenyewe naitaka hiyo hela faster ila haramu hiyo isiwe ujambazi wala kubeba madawa
Kama unayo nipeUnataka kweli
Kuuza papuchi hapana. Elfu 50 ikanilaze na MTU ananuka kama beberu hapanamkuu hizo ndizo kazi zenyewe haramu ukijumlisha na kuuza papuchi.Niliongea na muuza papuchi mmoja pale Kinondoni anasema kwa siku analala ma 50k au zaidi.Akikosa sana 30k.
Ila nakushauri kuwa mvumilivu tu kila mtu hupata fungu lake alilopangiwa kwa wakati sahihi.
HUO NDO UHARAMU WENYEWE MKUU,hahahaha eti kama beberuKuuza papuchi hapana. Elfu 50 ikanilaze na MTU ananuka kama beberu hapana
Okey, nakusubiriKwanza Hongera sana Kwa uthubutu..nikirudi Kwenye biashara ya kufanya Kwa haraka haraka ni wastani Wa 16500 Kwa siku...its possible..ngoja nitarudi..