Nifanye kazi gani nipate laki tano kwa siku 30?

Asante
 
Njoo pm sinamfanyakazi wa ndani... Ntakupa kila kitu na mwisho wa mwezi nakupa 500k
 
Kwa hyo upo ladhi kuuza ila kinachokukela ww ni hatufu ya beberu tu,
 
Hii ya Ku upload picha na video Ni IPI mkuu!!?
 
Hii ya Ku upload picha na video Ni IPI mkuu!!?
Youtube, Dailymotion unaupload video na nafikiri ndiyo sites maarufu.

Stock photo, Getty Image unaupload picha.

Ukicheki mtandaoni utakuta hadi websites unazoweza kuweka picha za simu.
 
JF kwa watu kujikuza hamjambo
 
Una mtaji Wa shi ngap nikusaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…