Nifanye kazi gani nipate laki tano kwa siku 30?

acha kumtapeli mwenzio
 
Laki 5..hizo si kama usd 220m? Wenzako hizo tunaingiza per day...
 
Taja website mkuu
 
Hyo pesa nakupa bure kabisa ila mashart na vigezo kuzingatiwa
 
Inawezekana ila uthubutu unahitajika, unajua kuna mishe unaweza pata mpaka 35,000/= kwa siku ila kujitoa kunahitajika sasa kwa nature ya watu sisi inahitaji uthubutu
Naomba unishirikishe na Mimi huo mchongo mkuu October man
 
Ndugu zangu habari naitwa Elifuraha Lyimo nipo Arusha natafuta kazi ya ualimu lakini kama ipo nyingine nafanya 0714954609
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…