last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Sema hapa hapa tukukosoeKwanza Hongera sana Kwa uthubutu..nikirudi Kwenye biashara ya kufanya Kwa haraka haraka ni wastani Wa 16500 Kwa siku...its possible..ngoja nitarudi..
acha kumtapeli mwenzioKuna nyuzi zinatrend jukwaa la Jamii Intelligence mfano utakuta uzi unasema 'Wadudu kumi hatari duniani' au 'Magonjwa kumi hatari duniani' au 'Watu 10 warefu duniani'
Zile nyuzi wanazitoa online kutoka kwenye website ya Listverse. Now Listverse hawawezi kuandika kila kitu wao hivyo wanaajiri freelancers wa kuandika maudhui yao.
Wanalipa Dola 100 wakikubali utakachowaandikia. Isipokua wanalipa kwa kutumia Paypal ambayo kwa Tz ukiwa na akaunti ya Paypal hautaweza kupokea pesa hivyo hakuna mtu aliye Tz ataweza kulipwa.
Websites ambazo hazitumii Paypal hulipa pesa kidogo. Mfano Mysterious world wanalipa dola 25 hivyo tafuta website itakayokuridhisha, fanya nao kazi. Fuatisha masharti yao ya uandishi ukikubaliwa article yako wanakulipa.
Picha ulipwaji wake utategemea na unapoupload na camera yako pia. Mfano picha za smartphone huwezi kuziweka Getty image au Stock photo ukatarajia pesa ndefu.
Pia malipo ni tofauti na website. Mfano sehemu nyingine watakulipa kadri watu wanavyodownload picha yako na sehemu nyingine watakulipa hapo hapo ila watu wakidownload picha ulizoweka haupati tena kitu.
acha kumtapeli mwenzio
Ni kazi ganiUnapata kabisa hiyo pesa tena nã zaidi ya hapo tena ni kazi halali kabisa ila inabidi ujitoe kweli hii kazi. Mtaji 50K hadi 100K
Nimeshindwa kuku pm, kuna shidaUnapata kabisa hiyo pesa tena nã zaidi ya hapo tena ni kazi halali kabisa ila inabidi ujitoe kweli hii kazi. Mtaji 50K hadi 100K
HongereniLaki 5..hizo si kama usd 220m? Wenzako hizo tunaingiza per day...
HahaLaki tano kwa mwezi inawezekana ila kwa kazi isiyo halali
Kubet sikushauri watu wanaliwa mikeka balaaa na au unaweza shinda kwa kuhangaika sana
Kununua napo kuna itaji roho kubwa. Ni kama kuvaa milipukoHapana. Kujiuza kama kuvaa mabomu mkuu
Taja website mkuuTafuta websites au blogs ambazo unaweza kuwaandikia na ukalipwa. Mshahara unaanzia dola 25 mpaka dola 500 kutegemea na umashuhuri wa website husika.
Kama upo Tz ni tatizo kwakua kinachotukwamisha ni Paypal haipo supported Tz.
Sasa hivi Hovatek wanatafuta waandaaji maudhui, wacheki.
Sites zingine ni za kuupload video au picha nazo zinalipa, mshahara unaanzia dola 5 nafikiri dola 50 ni kiwango cha juu zaidi.
FxLaki 5..hizo si kama usd 220m? Wenzako hizo tunaingiza per day...
Hapana mkuu fx sifanyi hiyo ni blogging
Naomba unishirikishe na Mimi huo mchongo mkuu October manInawezekana ila uthubutu unahitajika, unajua kuna mishe unaweza pata mpaka 35,000/= kwa siku ila kujitoa kunahitajika sasa kwa nature ya watu sisi inahitaji uthubutu
Sasa ndugu, kati ya kazi haramu, hiyo ndo nyepesi. Ikifuatiwa na wizi.Kuuza papuchi hapana. Elfu 50 ikanilaze na MTU ananuka kama beberu hapana