Nifanye Mapenzi, Ama Nisifanye?

Nifanye Mapenzi, Ama Nisifanye?

Wacha mboyoyo kijana, nyeto ina faida nyingi na madhara kidogo sana.

Labda uwe na uraibu. Kitu ambacho hata nmapenzi ya kawaida ukishakua na uraibu lazma uteseke

Ndimi mjumbe wa CHAPUTA nawasilisha
Kama ni uchaguzi wako ni sawa, ila binafsi NO KUBWA,
Nipige mashine kabisa ama nikae nisipige, yote yanawezekana
 
sasa mkuu unasema tusilinganishe na hapo juu uliandika nyeto ina madhara😁😁😁 basi ungeandika tu kuhusu tendo, By the way me pia siungi mkono nyeto ila najua lengo la watu kuitengenezea ubaya ni kwa sababu ya kuhakikisha thamani ya mwanamke inabaki kuheshimika maana kama ingethibitishwa kwamba ni njia salama kabisa basi mwanamke angeonekana pimbi mmoja ambae hana umuhimu, jambo ambalo lingeleta madhara makubwa ikiwemo Kutokuzaliana na masuala ya kuoana... Tuendelee kulipa thamani tendo ila i'm sure tukija kwenye madhara yake kiafya basi nyeto bado ni mtoto... kiufupi kinachofanya mwanamke awe na thamani aliyonayo muda huu ni Kipochi manyoya siku kikijakuonekana hakina tija basi habari yao imekwisha.
Nadhani kwa sababu labda iyo selta ndo inaonekana kama selta kubwa sana, ila bado kuna faida nyingine pia mbali na hizo. Naweza kusema duniani mambo yangeweza kwenda fresh tu bila wewe bwana Flames ila amini kwamba wewe ni mtu muhimu sana kwenye hii sayari
Jitahidi kuwa na vitu legitimate ama kama unaweka pembeni yaache fanya mambo makubwa kama kina Newton ambao hawakuoa
 
Ngono inarudisha Maisha nyuma , Mimi naona punyeto ni salama Sana maana wapigaji punyeto ni watu wenye maendeleo makubwa ya kimaisha na kifikra mfano dronedrake kimaisha yupo vizuri , then sio kila Mtu anafagilia ngono
 
Ngono inarudisha Maisha nyuma , Mimi naona punyeto ni salama Sana maana wapigaji punyeto ni watu wenye maendeleo makubwa ya kimaisha na kifikra mfano dronedrake kimaisha yupo vizuri , then sio kila Mtu anafagilia ngono
Tunamfahamu kwa jina tu ila kwamba ana maendeleo hatufahamu. Ila watu wanaofanya mapenzi wenye maendeleo naweza kukutajia:

1. Mcheki Diamond Platnumz
2. Mcheki Mo
3. Mcheki Mark

Ishara kwamba sio kambi nyet ni watoto waliowapata ama mahisiano ambayo bado wanayo, nk
 
View attachment 2544934Siku hizi kuna kundi la watu wanaopinga ndoa (KATAA NDOA) na kuhamasisha watu wasifunge ndoa - lakini wengine wamekuwa wakifanya 'me-time' na kujisaidia wenyewe. Ndio maana leo hii nataka kuandika makala "Kwanini tufanye tendo na kwanini tusifanye tendo." Kupitia makala hii, nataka watu waelewe kwa nini ni muhimu kufanya tendo na kwa nini pia inaweza kuwa sio muhimu.

Tukiangalia upande wa ndoa, kuna sababu nyingi za kufunga ndoa. Kwa mfano, ndoa inaweza kuleta furaha na utulivu katika maisha. Pia, inaweza kuwa na manufaa kwa familia na kuwasaidia watoto kukua katika mazingira yenye upendo. Lakini pia, kuna sababu nyingine za kutoa kipaumbele kwa ngono. Kwa mfano, ngono inaweza kuwa na faida kwa afya yetu ya akili na mwili.

Lakini hebu tuzungumzie suala la 'me-time.' Masturbation ina madhara mengi kama vile kuathiri afya ya ngono, kuchanganyikiwa na kuharibu uhusiano wako wa kimapenzi. Kwa hivyo, badala ya kujisaidia wenyewe, kuna faida nyingi kwa kufanya tendo na mwenzi wako. Kwa mfano, inaweza kuimarisha uhusiano wako na kuongeza uaminifu na upendo kati yenu.

Kwa hivyo, unaweza kufikiria kufunga ndoa na kupata mwenzi ambaye unaweza kufanya tendo naye na kujenga uhusiano wa kudumu. Lakini, ikiwa hauko tayari kufunga ndoa, kuna njia nyingine za kupata raha na kujisikia vizuri bila kuharibu uhusiano wako. Kwa mfano, unaweza kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na mtu bila kufunga ndoa, au kufurahia maisha yako kama mwenyeji mwenye furaha bila shinikizo la kuolewa.

Kwa hivyo, tunahitaji kuzingatia faida na hasara za kufanya tendo na kufunga ndoa, na kufanya maamuzi ambayo yanatufanya tuwe wenye furaha na tufikie malengo yetu. Lakini tuhakikishe kuwa tunajiepusha na 'me-time' ambayo inaweza kutuletea madhara mengi badala ya faida.
Wee hujawahi pata "me time " na mlenda vuguvugu.
Nakwambia faida yake ni kubwa mno.
Kwanza no std.
Pili unaweza gegeda wanawake watatu kwenye bao moja
Tatu... Hamna kutuma nauli....buku mbili tuu mzeya,
 
Wee hujawahi pata "me time " na mlenda vuguvugu.
Nakwambia faida yake ni kubwa mno.
Kwanza no std.
Pili unaweza gegeda wanawake watatu kwenye bao moja
Tatu... Hamna kutuma nauli....buku mbili tuu mzeya,
Brother, sijawahi na sitawahi
Yani hata kwny imagination yangu sijioni nikifanya ivyo. Naona ni easy kutulia kutokufanya chochote kuliko kufanya kwa njia hiyo.
Kuna kipindi nilikuwa nateseka napokosa wakati ninahitaji ila nilikuja kugundua ni kujiendekeza. Acha kujiendekeza. Kama hautaki mahusiano ya commitment, kuwa hata playboy kama playboy haisaundi gudi kuwa playman, cheza smart, piga zako show yako/zako tulia fanya mambo yako mengine
 
SWALI LA MSINGI HAPA NI KWA NINI WATU WANAPINGA NDOA?
 
Brother, sijawahi na sitawahi
Yani hata kwny imagination yangu sijioni nikifanya ivyo. Naona ni easy kutulia kutokufanya chochote kuliko kufanya kwa njia hiyo.
Kuna kipindi nilikuwa nateseka napokosa wakati ninahitaji ila nilikuja kugundua ni kujiendekeza. Acha kujiendekeza. Kama hautaki mahusiano ya commitment, kuwa hata playboy kama playboy haisaundi gudi kuwa playman, cheza smart, piga zako show yako/zako tulia fanya mambo yako mengine
Hapana mzee mie napenda mlenda vugu vugu ni hatari! Bao moja lakini umemla paula, suzy na glory. Huoni hapo unapiga hatrick
 
Hapana mzee mie napenda mlenda vugu vugu ni hatari! Bao moja lakini umemla paula, suzy na glory. Huoni hapo unapiga hatrick
Ukiweka mipango mizuri una uwezo wa kuwala wote. In fact hata ukitafuta pisi mbovu unaweza jivua ufahamu ukamvisha sura zote hizo na unakuwa na bonus ya huyo unaemla anakuwa ni wa 4
 
Back
Top Bottom