Nifanye nini au nile vitu gani ili na mimi niwe na KITAMBI?...

Nifanye nini au nile vitu gani ili na mimi niwe na KITAMBI?...

Ila kiukweli mwanaume ukiwa mwembamba sana hupendezi...ukichomekea shati shida..ukivaa tshirt ndo km mwanafunzi....muscles kidogo sawaa ...si kitambi km komba
 
Wakuu hili swala linaninyima raha kila siku ya uchao kwa mungu. Naumia roho zaidi hasa ninapo waona wenzangu wenye navyo(VITAMBI) jinsi wanavyopendeza..hasa wakichomekea kidogo alafu wakimalizia na moka chini ndio nakufa kabisa...nimejaribu kila njia ili na mimi angalau niwe nacho(KITAMBI) lakini wapi...kama unafahamu kitu kuhusu jinsi ya kupata hii kitu tafadhali ndugu nitupie..nimechoka na umbo la UBAO..

Kitambi/Belly ni sababu ya too much depostion of Fat on abdomen just on the umbilicus
Hivo kama unaitaka hiyo theory anza kunywa mafuta ya uto ili ya accumulate kwenye belly
Check my signature by the way
 
jamaa hayupo serious kabisaa.Kitambi tena??Ule wimbo wa Bambo hujawahi kuusikia ww?
 
Ha ha ha umefunika!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wakuu hili swala linaninyima raha kila siku ya uchao kwa mungu. Naumia roho zaidi hasa ninapo waona wenzangu wenye navyo(VITAMBI) jinsi wanavyopendeza..hasa wakichomekea kidogo alafu wakimalizia na moka chini ndio nakufa kabisa...nimejaribu kila njia ili na mimi angalau niwe nacho(KITAMBI) lakini wapi...kama unafahamu kitu kuhusu jinsi ya kupata hii kitu tafadhali ndugu nitupie..nimechoka na umbo la UBAO..
teh teh teh teh...... mbona wachekesha ndugu yangu. Hivyo ulivyo ndio sawa kaka. watu wenye navyo wanapigana kuvitoa, hivyo vina madhara katika mambo yetu yalee yakugegedaga....
 
Ila kiukweli mwanaume ukiwa mwembamba sana hupendezi...ukichomekea shati shida..ukivaa tshirt ndo km mwanafunzi....muscles kidogo sawaa ...si kitambi km komba
Kweli wewe unaona mbali..mwanaume ukiwa slim sana ni noma hata pamba ukivaa yaani kama zipo kwenye enga zimetundikwa....am tired of this..
 
Anza ratiba ya uji wa ulezi kila siku asubuhi na jioni. Utajua kwann kina mama wananawiri wakiwa uzazi
 
Back
Top Bottom