shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Unaogopa mimba kuliko zinaa siyo? Ukimwi mmeshapima? Ingia kwenye ndoa naye aanze kukulipizia.... Chezeya sisi vidume?
]marry kwanza hongera kwa kumpata mchumba. pia huyu nakuhakikishia ndiye mumeo wa kweli from god. HILI lina mfano wa dhahiri kabisa na kama unataka ushuhuda ni pm.[/B]
ila aausibebe mimba ma dear wala usizini jaribu kweli kucontai hisia za mapenzi kwanza ili mfunge kwanza ndoa. kumbuka marry tunategemea wachumba waoane wakiwa wote mabikira so hata kama huna usiiachie tena manake aweza kuipata pasi kutarajia ukajajuta na ukakuta umevunja mwiko wako. kwangu mimi naamin waweza kujitunza msifanye hadi siku ya honey moon na tena siku hiyo ukajikuta huwez ku do manake kidanguro cha weza kukuumbua. hebu tulia ma dearest
usipende kukaa naye sehem za faragha ama kumtembelea home kwake utajikuta umezini tu onana naye mahali pa wazi kisha kila mtu achukue time
nilifahamiana na huyu kaka miaka kumi na mbili iliyopita, alisha propose mara tatu na zote sikukubali,na pia nimemfanyia vituko vingi sana ili akae mbali na mimi, miezi kama mitatu imepita siku moja nikanza kumuwaza in a positive way,nikakumbuka mazuri yake na kutamani niwe nae, uwezi amini the same day nawaza akanipigia simu nikaongea nae vizuri kwa utulivu mwingi, hakuamini kama ni mimi na usiku wa siku hiyo akanipigia tena na kupropose kwa mara ya nne, nilimkubalia, tupo kwenye mahusiano sasa hivi yamekolea balaaaa, ila mwenzangu ana wasi wasi mwingi kwamba naweza kumwaga muda wowote, na anataka anijaze mimba kabla sijabadili mawazo,sipo tayari kubeba mimba kabla ya ndoa
nifanye nini ili aniamini nampenda kwa dhati na sipo tayari kumpoteza. ili asubiri tufunge ndoa kwanza ndo nipate ujauzito
marry kwanza hongera kwa kumpata mchumba. pia huyu nakuhakikishia ndiye mumeo wa kweli from god. HILI lina mfano wa dhahiri kabisa na kama unataka ushuhuda ni pm.
ila aausibebe mimba ma dear wala usizini jaribu kweli kucontai hisia za mapenzi kwanza ili mfunge kwanza ndoa. kumbuka marry tunategemea wachumba waoane wakiwa wote mabikira so hata kama huna usiiachie tena manake aweza kuipata pasi kutarajia ukajajuta na ukakuta umevunja mwiko wako. kwangu mimi naamin waweza kujitunza msifanye hadi siku ya honey moon na tena siku hiyo ukajikuta huwez ku do manake kidanguro cha weza kukuumbua. hebu tulia ma dearest
usipende kukaa naye sehem za faragha ama kumtembelea home kwake utajikuta umezini tu onana naye mahali pa wazi kisha kila mtu achukue time
nashangaa kwa nini wanawake wanaogopa sana mimba kabla ya ndoa, mbona sielewi? Why?
Yaani yuko radhi azichomoe hadi aolewe au asubiri hata afikishe miaka 40 hazai wakati anapenda watoto.
Ndoa si suluhisho, ni bora kuwa kwenye mahusiano yenye afya hata kama si ndoa kuliko kukalia kuti kavu ndoani.
Kama mshkaji anaharaka sana si mfunge ndoa tu hata kesho au wewe unamuwekea pingamizi akitaka kukuoa fasta fasta?
duh miaka kumi na mbil iliyopita nilikuwa form 1 kudadek jamaa bnamoyo kweli mi mwanamke miez 3 tu inatosha kukuvutia punzi else natupa kule then kipind chote icho lazma ntapunguza kujiamin ata kama nitakuwa nawewe .jichek jamaa anawez kukupa kibut cha aja umlele mtoto peke yako .ogopa mbwa koko akipata upenyo ata ikibidi kung'ata atang'ata ili aponye nafsi yake[/QUOTE
hiyo pia ianwezekana ila ngumu kumesa kwa sasa duu, incase ikitokea yote heri aende kwa amani
Akasome pia na Uzi wa felixonfelix kuhusu wanawake kuingia mkenge. Siku zoote ulikuwa unamkataa kwa nini? Na kwa nini sasa umemuona anafaa? Uko desperate kuolewa tu, na ukiishakaa na Pete kidoleni utajuta Kama sio kujutishwa!
Note: revenge is the meal best served cold (saa zingine najichungulia baiolojia yang manake nahisi nakuwa Kongosho
Babu Asprin na Cay wamesema yote. Never trust anyone in this world.
Akasome pia na Uzi wa felixonfelix kuhusu wanawake kuingia mkenge. Siku zoote ulikuwa unamkataa kwa nini? Na kwa nini sasa umemuona anafaa? Uko desperate kuolewa tu, na ukiishakaa na Pete kidoleni utajuta Kama sio kujutishwa!
Note: revenge is the meal best served cold (saa zingine najichungulia baiolojia yang manake nahisi nakuwa Kongosho
Bi mkubwa kabla sijakupa ushauri wangu labda ningekuuliza kitu kidogo, what made you change your mind about him now? kabla ya kuamua kumkubali nini kimetokea kwenye mahusiano yako yaliyopita (nataka nipate picha ya reason ya wewe kuamua kubadili mawazo now) hii itasaidia kukushauri even if your feelings are really or just a wind which might pass after a while na kuanza kumuona vile vile ulivyokuwa unamuona mara tatu zilizopita alizopropose