Nifanye nini ili huyu mrembo asinikimbie katika maisha haya?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We ukinikubalia ntaachana na huyu nikuweke wewe
Hahaaa, basi njoo tuyajenge aisee Mrs full suti miye, kuna mkuu kasema wapita njia,majirani full kusikia harufu ya mishkaki[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji23][emoji23]Tukifanya kulinganisha na lile geto la Ndege John,,geto la ndege ni kama 5star hotel wakati hili ni kilogde cha mtaani tu..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hili banda la mkaa kabisa
 
Naona umepiga full suti mkuu, bati kuanzia msingi mpaka kuezeka noma sana, kipindi cha joto inakua kama mpo kwenye kikaangio[emoji3] [emoji3] .ila safi sana pambanaa. Bibie asikukimbie bana hata mbuyu ulianza kama mchicha mbona
Nataka tuanze maisha pamoja nami geto langu lipo hivyo hivyo...vipi upo tayariπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…