Nifanye nini ili huyu mrembo asinikimbie katika maisha haya?

Nataka tuanze maisha pamoja nami geto langu lipo hivyo hivyo...vipi upo tayari[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa, kwasababu nimekupenda tutaanza tuu ,ila uwe tayari kutafuta sehemu Nyingine within 2 days[emoji3] [emoji3] [emoji3] otherwise nakuacha na suti yako naenda Kwa vibopaa
 
Wanawake wana moyo wa chuma hivyo mwache huru huyo atadumu na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…