Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 4,236
- 7,583
Habari wakuu,
Hopefully wengi wenu mpo poa kabisa, Ikiwa basi una itilafu yoyote ya kiafya basi zingatia tiba na Mungu akufanyie wepesi ukae poa kabisa.
As you know mimi kijana wenu sasa naelekea kutimiza 23yrs mwaka huu, Sasa lengo la uzi huu ni kwa sababu nafahamu humu kuna watu wengi sana ambao wameshapita umri niliopo mimi kitambo sana, na kama ilivyo kawaida yangu watu hao mimi ni halali yangu na siwezi kuwaacha wakafa na madini ya chumvi walizokula, Me nawaambiaje wakuu ni hivi "Hayo madini mimi kijana wenu _Flames mtanipa tu" sio kama nipendavyo mimi tu bali mpendavyo ninyi pia.
Mimi ni kijana ambae sijabahatika kupata elimu kivile ila nashuku Mungu basi nilifika hata 4M-4 ambapo vitabu vya Passed like a shadow na Three suitors one husband vimenisaidia ku-mprove my english na sasa kidogo naweza nikawasiliana na mteja wangu kutoka US tukaelewana.
Baada ya kumaliza tu o-Level nikajikuta jiji la Dar na hadi sasa ndo napambana hapa, Jua la Dar limehusika kunipa ujasiri wa haya maisha ambayo nilikuwa nikiyaogopa hadi sasa najitegemea na maisha yangu kwa harakati zangu hizi za ku-force... Nawish sana nipate pesa nyingi niwafanye wazazi wangu nao wa-feel ile moment ya kuishi kwenye nyumba zao ila kiuwezo bado sana nilichokiweza basi ni kuhakikisha sikukuu ya Chrismas miamala inasoma kwenye simu zao ili wapate walau kula pilau na nyama nyingi na kinywaji pembeni na Wakajibu "Barikiwa sana mwanangu"
Okay twende fasta, Mimi ni yule kijana ambae sina circle ya marafiki, Sina dem kwa sasa, Sina mtoto wala sina ninachokiwaza akilini kwangu zaidi ya Hela na Future yangu... Kwasasa sina shida ndogondogo kama kula wala kuvaa, wala kulala, wala kutoka out. Ni kijana ambae nipo real all the time kwani nikisema naenda Shoppers pale mlimani city basi sio kununua ice-cream kama vijana wenzangu wengi ninaowakuta hapo bali nitanunua Sukari,Unga,Mchele,Tomatos,Mikate n.k kwaajili ya matumizi ya gheto kwangu. Mimi ni kijana ambae nikikosa chini 1m kwa acc na 50k kwenye wallet kama pocket money napungua mwili kutokana na stress ana lack of happiness... Napenda uhakika kinoma noma, Sipendi vipengele that's why hata nikidawa napambana kulipa deni la mtu fasta nimalize niwaze mambo mengine.
Furaha yangu inashindwa kuwa full kwa sababu ya kesho yangu, Kesho inaninyima furaha natamani ningeiona ili nijiandae, Sipendi familia yangu ije kuwa na baba ambae hajajipanga, Sipendi kuja kugombania daladala na mvi...
Nimeeleza hapo juu ili mtu ambae atanishauri anipe ushauri kuendana na mimi nilivyo basi nini cha kufanya... Nishauri nini cha kufanya ili kesho ninayoiwaza kwa akili yangu isiwe ya majuto.
Nishauri kwa umri wangu huo ni watu wa aina ganinnatakiwa kuwa nao close, Nishauri ni muda gani ukifika nioe, Nishauri aina za marafiki, Nishauri chochote cha kufanya kwa wakati huu, Nishauri ni tabia gani niachane nazo, Nishauri kutokana na mimi kutokuwa na elimu ya Dunia au CV's za kuniwezesha basi nipambanie kitu gani zaidi ili niweke uhakika wa kesho yangu zaidi, Naomba usipite bila kunishauri chochote wewe kama Kaka,Baba,Dada,Mama n.k
Me Love Goes To You ❤️
Hopefully wengi wenu mpo poa kabisa, Ikiwa basi una itilafu yoyote ya kiafya basi zingatia tiba na Mungu akufanyie wepesi ukae poa kabisa.
As you know mimi kijana wenu sasa naelekea kutimiza 23yrs mwaka huu, Sasa lengo la uzi huu ni kwa sababu nafahamu humu kuna watu wengi sana ambao wameshapita umri niliopo mimi kitambo sana, na kama ilivyo kawaida yangu watu hao mimi ni halali yangu na siwezi kuwaacha wakafa na madini ya chumvi walizokula, Me nawaambiaje wakuu ni hivi "Hayo madini mimi kijana wenu _Flames mtanipa tu" sio kama nipendavyo mimi tu bali mpendavyo ninyi pia.
Mimi ni kijana ambae sijabahatika kupata elimu kivile ila nashuku Mungu basi nilifika hata 4M-4 ambapo vitabu vya Passed like a shadow na Three suitors one husband vimenisaidia ku-mprove my english na sasa kidogo naweza nikawasiliana na mteja wangu kutoka US tukaelewana.
Baada ya kumaliza tu o-Level nikajikuta jiji la Dar na hadi sasa ndo napambana hapa, Jua la Dar limehusika kunipa ujasiri wa haya maisha ambayo nilikuwa nikiyaogopa hadi sasa najitegemea na maisha yangu kwa harakati zangu hizi za ku-force... Nawish sana nipate pesa nyingi niwafanye wazazi wangu nao wa-feel ile moment ya kuishi kwenye nyumba zao ila kiuwezo bado sana nilichokiweza basi ni kuhakikisha sikukuu ya Chrismas miamala inasoma kwenye simu zao ili wapate walau kula pilau na nyama nyingi na kinywaji pembeni na Wakajibu "Barikiwa sana mwanangu"
Okay twende fasta, Mimi ni yule kijana ambae sina circle ya marafiki, Sina dem kwa sasa, Sina mtoto wala sina ninachokiwaza akilini kwangu zaidi ya Hela na Future yangu... Kwasasa sina shida ndogondogo kama kula wala kuvaa, wala kulala, wala kutoka out. Ni kijana ambae nipo real all the time kwani nikisema naenda Shoppers pale mlimani city basi sio kununua ice-cream kama vijana wenzangu wengi ninaowakuta hapo bali nitanunua Sukari,Unga,Mchele,Tomatos,Mikate n.k kwaajili ya matumizi ya gheto kwangu. Mimi ni kijana ambae nikikosa chini 1m kwa acc na 50k kwenye wallet kama pocket money napungua mwili kutokana na stress ana lack of happiness... Napenda uhakika kinoma noma, Sipendi vipengele that's why hata nikidawa napambana kulipa deni la mtu fasta nimalize niwaze mambo mengine.
Furaha yangu inashindwa kuwa full kwa sababu ya kesho yangu, Kesho inaninyima furaha natamani ningeiona ili nijiandae, Sipendi familia yangu ije kuwa na baba ambae hajajipanga, Sipendi kuja kugombania daladala na mvi...
Nimeeleza hapo juu ili mtu ambae atanishauri anipe ushauri kuendana na mimi nilivyo basi nini cha kufanya... Nishauri nini cha kufanya ili kesho ninayoiwaza kwa akili yangu isiwe ya majuto.
Nishauri kwa umri wangu huo ni watu wa aina ganinnatakiwa kuwa nao close, Nishauri ni muda gani ukifika nioe, Nishauri aina za marafiki, Nishauri chochote cha kufanya kwa wakati huu, Nishauri ni tabia gani niachane nazo, Nishauri kutokana na mimi kutokuwa na elimu ya Dunia au CV's za kuniwezesha basi nipambanie kitu gani zaidi ili niweke uhakika wa kesho yangu zaidi, Naomba usipite bila kunishauri chochote wewe kama Kaka,Baba,Dada,Mama n.k
Me Love Goes To You ❤️