Veronica7598
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 361
- 408
- Thread starter
-
- #41
Hongera zako ngoja ajifungue alafu akichanika akishonwa, utakuja kuniambia kama utajua kama imeshonwa.Hapo huezi kumwambia Dr akushone AF abakize km ya mtoto kweli!?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] natania tu ...Mwenyewe nasubiria baby mama wangu siku zifike bt na yeye Jana kapigwa ultra sound kaambiwa mtoto ni mkubwa (hapo nahc atahitaji operation)ingawa Dr hakusema moja kwa moja..na hpo ndo 2 weeks itimie miez 9
Hivi kumbe hawa madogo ni waharibifu wa naniliiuu zetu..[emoji23] [emoji23]Na inarudi kuwa mpya
Dah basi ktk lile tangazo la kutafuta mke nitaweka kipaumbele ALIYESHONWAAAAAAAAAAWakuu naona mnashangaaa kuchanika, mbona kawaida tu. Unashonwa then inarudi kama mwanzo. Tena haujulikani kama ilishonwa unakua kama binti wa miaka14 vilee[emoji108]
Tuheshiamiane mkuu, kama huna point kaa kimyaaa naona uhuru unazidi mipaka.Ukikaribia kujifungua mwambie mumeo ajitahidi sana kupanua njia tena awe anapaka KY kwani inatanua uke sana.
Pia ulaji wa asali iliyopo kwenye maji ya moto inasaidia
Nia yangu ilikuwa nzuri kuandika haya ila naona umenielewa vibaya.Tuheshiamiane mkuu, kama huna point kaa kimyaaa naona uhuru unazidi mipaka.
Cjawah mkuuSamahani kwa swali hili nitakalo kuuliza......
Uliwahi kufanyiwa tohara (kukeketwa) ?
Shughuli inapoisha ukapewa mtoto wako maumivu na uchungu wote unaisha.Mwacheni Mungu tumtukuze jamani na uchungu wote huo ulirudia ule mchezoo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
Wale Chakula gani sasa? Toa mfano TafadhaliWengi huchanika wakati wakijufungua watoto kwa mimba ya kwanza lakini ya pili na kuendelea sio rahisi labda mtoto awe mkubwa sana au kuwe na other extra ordinary circumstances. Ila ni muhimu miezi mitatu ya mwisho (third trimester) upunguze kula vyakula vya uwanga na sukari maana ni muda huu ndio mtoto hunenepa huko tumboni.
Mboga mboga na matunda kwa wingi vyakula vya wanga in moderation. Vya kuchemsha kuliko vya kukaangwa. Natural fruit juices kuliko soda. Basi.Wale Chakula gani sasa? Toa mfano Tafadhali
Kuchanika wakati wa kujifungua si suala la kujikinga simply inatokana na kitangulizi cha Mtoto kuwa kikubwa mfano mtoto uliyemzaa wa kilo 4 lzm atakuwa na kichwa kikubwa ambacho ili kitoke lzm uongezwe njia aka Episiotomy au kama mkunga atakuwa si makini utachanika,solution pekee ambayo ni vgm kuitimiza ni kuzaa mtoto mdogo na mkunga kuwa makini kusupport msamba wakati wa kichwa kutoka akiona imeshindikana akuongezee njia ili kuzuia kuchanika sana!Inashauriwa mtoto azaliwe na uzito kati ya 2.5 -3.5 kg ila akizidi hapo ni shida na kuzaa mtoto mdogo wa km 2.5kg wala si shida baada ya muda ana gain uzito faster!Habari zenu wapendwa.
Bila kupoteza muda naomba ushauri wenu humu ndani.
Tatizo nililo nalo wakati najifungua mtoto wangu wa kwanza niliumwa uchungu mkali sna kwa muda mrefu kama siku 2 hivi bila kupumzika wala kukata mpaka nikawekewa drip ya uchungu, na baadae njia ikafunguka nikajifungua vizuri tu, ila sasa mtoto alitoka akiwa na kilo 4 na alinichana sana kiasi kwamba nilishonwa nyuzi za kutosha, halafu ndio mimba Yangu ya kwanza.
1) Sasa hivi ni mjamzito tena, naomba ushauri nifanye nn ili nisiumwe kwa muda mrefu na uchungu.
2)Nifanye nini ili nisichanike wakati wa kujifungua.
Nawasilisha..